switch Off
Member
- Oct 30, 2019
- 50
- 205
Habari wakuu
Natumaini mko poa kabisa.
Leo nimekuja kwenu na jambo moja tuu kuhusu stori za kichawi na zinazo sisimua...
Kwa mtu yoyote mwanye kisa cha ukweli cha ushirikina,uchawi chenye kusisimua naomba tuwasiliane
Mfano -uliwahi kukutana na jini
-ulishawahi kufanya mapenzi na jini
-wewe ni mchawi na unawanga
-ulikula nyama za watu
Kama utakuwa wewe sio muhusika basi naomba kukutanishwa na wahusika ambao wewe unawafaham....
LENGO
lengo la kuwatafuta watu hao wenye visa vya uchawi ni kushirikiana nao..
Mimi nahusika na mambo ya Online Tv nataka kukutana na watu hao ili tutengeneze kipindi ambacho kitasisimua na kuwavutia watu... Tutafanya mahojiano kisha tutapandisha YOUTUBE
Kwa maelezo zaidi nicheki Pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini mko poa kabisa.
Leo nimekuja kwenu na jambo moja tuu kuhusu stori za kichawi na zinazo sisimua...
Kwa mtu yoyote mwanye kisa cha ukweli cha ushirikina,uchawi chenye kusisimua naomba tuwasiliane
Mfano -uliwahi kukutana na jini
-ulishawahi kufanya mapenzi na jini
-wewe ni mchawi na unawanga
-ulikula nyama za watu
Kama utakuwa wewe sio muhusika basi naomba kukutanishwa na wahusika ambao wewe unawafaham....
LENGO
lengo la kuwatafuta watu hao wenye visa vya uchawi ni kushirikiana nao..
Mimi nahusika na mambo ya Online Tv nataka kukutana na watu hao ili tutengeneze kipindi ambacho kitasisimua na kuwavutia watu... Tutafanya mahojiano kisha tutapandisha YOUTUBE
Kwa maelezo zaidi nicheki Pm
Sent using Jamii Forums mobile app