Relax tunamalizia mchakato wengi mmefungana fungana maksi.Mwezi ujao tutaanza kuwapigia simu na kupublish majina yenuWakuu habari zenu na poleni kwa majukumu ya siku nzima...
Ninaomba kufahamishwa, kwa mtu mwenye taarifa hata kama sio rasmi, majibu ya usaili wa mahojiano TRA uliofanyika March 25, 2019 yatatoka lini. PSRS waliahidi baada ya wiki 2 yatakua tayari lakin hadi sasa ni miezi miwili imepita. Je wanayafanyaje huko au shida ni nini?
Tayari yashatokaWakuu habari zenu na poleni kwa majukumu ya siku nzima...
Ninaomba kufahamishwa, kwa mtu mwenye taarifa hata kama sio rasmi, majibu ya usaili wa mahojiano TRA 2019 yatatoka lini.
Really? Kama ni hivyo naweza kupata link yake?Tayari yashatoka
Wanasheherekea na familia zao kwanzaDuh watu wakipata kazi wala hajarudi humu kutupa mrejesho
Hivi siku hizi bado wanasherehekea tu.Wanasheherekea na familia zao kwanza
Vipi umefaulu?Really? Kama ni hivyo naweza kupata link yake?
Za uso Mzee baba..dah! acha nisubiri kipindi cha pili labda nitasaidiwa na upepoVipi umefaulu?
Mungu akubariki SanaZa uso Mzee baba..dah! acha nisubiri kipindi cha pili labda nitasaidiwa na upepo
We subiri kanzidata iteme utapelekwa halmashauri ya namtumbo ukoZa uso Mzee baba..dah! acha nisubiri kipindi cha pili labda nitasaidiwa na upepo
DaahWe subiri kanzidata utapelekwa halmashauri ya namtumbo uko