Katafute JIPU la kutumbua then... Acheni UTOTO wenu!
Hivi pipoz pawa imeishiwa wapi jamani? Au ilikuwa ngonjera na taarab tu za kufurahishana?
Katafute JIPU la kutumbua then... Acheni UTOTO wenu!
Hivi pipoz pawa imeishiwa wapi jamani? Au ilikuwa ngonjera na taarab tu za kufurahishana?
hahahaha kikao cha .... nini
katafute jipu la kutumbua then... Acheni utoto wenu!
Hivi pipoz pawa imeishiwa wapi jamani? Au ilikuwa ngonjera na taarab tu za kufurahishana?
Kwa hiyo unahamasisha Peoples power? unadhani utakuwa salama wewe? waulize Arusha, Mwanza na Mbeya utajua maana yake, hata polisi unaowategemea walifyata mikia. Acha uchochezi wa kipuuzi wewe.
Hatuyatambui kabisahayo matokeo,, na Leo Slaa ametoa Tamko kwamba hatumtambui Kikwete, kabisaaa na siyo raisi wetu labda wa CCM lakini si people powers