Matokeo ya Urais 2010 bado ni siri ya NEC!!

Matokeo ya Urais 2010 bado ni siri ya NEC!!

awtu

Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
48
Reaction score
0
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara wako likozoni, mara...nk
Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu.
Source: Raia Mwema- Muungwana na Kitendo ya leo tarehe 5 Januari, uk 3

Je, hili mnalonaje wanachama wa JF?
 
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara wako likozoni, mara...nk
Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu.
Source: Raia Mwema- Muungwana na Kitendo ya leo tarehe 5 Januari, uk 3

Je, hili mnalonaje wanachama wa JF?

Mkuu kama wewe ni mtanzania kweli unayejua nchi yako hili si la ajabu. Katika hali ya kawaida, ni kawaida kwa mambo kwenda ovyo Tanzania. Yakienda vizuri tunashangaa, so nothing new on this. Unataka waweke matokeo hayo ili watu waanze kulalamika kuhusu uchakachuaji? acha kwanza watu wasahu ije issue nyingine halafu ndio mtandao utakuwa na nguvu.
 
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara wako likozoni, mara...nk
Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu.
Source: Raia Mwema- Muungwana na Kitendo ya leo tarehe 5 Januari, uk 3

Je, hili mnalonaje wanachama wa JF?

Walichakachua hadi wameshindwa kuweka vizuri mahesabu
 
Hawakumbuki walichokuwa wanatangaza that y hawaweki
 
Back
Top Bottom