Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara wako likozoni, mara...nk
Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu.
Source: Raia Mwema- Muungwana na Kitendo ya leo tarehe 5 Januari, uk 3
Je, hili mnalonaje wanachama wa JF?
Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu.
Source: Raia Mwema- Muungwana na Kitendo ya leo tarehe 5 Januari, uk 3
Je, hili mnalonaje wanachama wa JF?