Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Nasikia vijana wamekula mweleka kama nini mwaka huu!! Inabidi nifungue shamba kubwa niajiri Form 4 leavers!
Ni kama mwaka 2010? au zaidi?
Nasikia vijana wamekula mweleka kama nini mwaka huu!! Inabidi nifungue shamba kubwa niajiri Form 4 leavers!
jaman tushachoka kaa nyumbn
Who told you?mc2tishe matokeo bdo asaaaa!
kweli kabisa maana huku nyumbani mdogo wangu heshi kuzimia na kupanda presha.bora yatoke tu tupumzike kuuguza!