Matokeo ya Darasa la nne 2019/2020

Matokeo ya Darasa la nne 2019/2020

shiite

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
319
Reaction score
302
Na imani wazima ndugu zanguni.
Kama kichwa cha habari Hapo juu kinavyojieleza. Nimepata taarifa kuwa Matokeo hayo yametoka tangu mwaka mpya. Lakini nimeangalia sehemu mbali mbali ikiwemo blogs na web ya necta hamna kitu.

Tafadhali mwenye kunitoa matongotongo juu ya hili, anitoe waungwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na imani wazima ndugu zanguni.
Kama kichwa cha habari Hapo juu kinavyojieleza. Nimepata taarifa kuwa Matokeo hayo yametoka tangu mwaka mpya. Lakini nimeangalia sehemu mbali mbali ikiwemo blogs na web ya necta hamna kitu.

Tafadhali mwenye kunitoa matongotongo juu ya hili, anitoe waungwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mpole mipango bado inafanyika Matokeo bado hayajatoka yanategemewa mpaka tarehe 20 yatawekwa wazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na imani wazima ndugu zanguni.
Kama kichwa cha habari Hapo juu kinavyojieleza. Nimepata taarifa kuwa Matokeo hayo yametoka tangu mwaka mpya. Lakini nimeangalia sehemu mbali mbali ikiwemo blogs na web ya necta hamna kitu.

Tafadhali mwenye kunitoa matongotongo juu ya hili, anitoe waungwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie tayari nimeshanunua vitabu vya darasa la tano......
Mtoto alisota darasa la nne utadhani asoma degree.....khaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka jana yalitoka tarehe 8 January hivyo tutarajie wiki hii yatatoka
 
Back
Top Bottom