Mimi sikuweza kukimbia, nguvu yenyewe yakuondoka nilikuwa nayo basi, kwanza nimeingia nimechelewa,kuiangalia screen inasoma 2 bila,pale pale nikawepo kuwepo,kipindi cha pili baada ya kupata goli kidogo matumain yakarejea ikabidi nijipongeze na soda, baadaye kidogo tukapigwa la tatu, du nikachoka kama kale kajamaa kwenye tangazo la coca.