Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,839
Ndugu wadau mwenye taarifa ya matokeo jimbo la Ukonga tunaomba rusheni hapa. Mbona kimya sana kule? Chadema ilikuwa na nguvu sana kule wakati wa kampeni. Hebu kieleweke wadau!! Mnyika mambo sawa kwako sasa fuatilia majimbo ya Segerea na Ukonga. Kawe Halima anasubiri kutangazwa tu. Na pengine atakuwa ameshatangazwa tayari.