Losomich JF-Expert Member Joined Nov 9, 2011 Posts 371 Reaction score 71 Apr 2, 2012 #21 Rugas said: Taarifa za siri,ni kwamba ccm na cdm watabadilishana kura! Na ccm atatangazwa mshindi Click to expand... Acha maziara wewe, labda wabadilishane na TLP ya Mrema. Peoples Power hiyooooooo.... imepeta, kwa kishondooooooooooooo.
Rugas said: Taarifa za siri,ni kwamba ccm na cdm watabadilishana kura! Na ccm atatangazwa mshindi Click to expand... Acha maziara wewe, labda wabadilishane na TLP ya Mrema. Peoples Power hiyooooooo.... imepeta, kwa kishondooooooooooooo.
M mamabaraka Member Joined Oct 18, 2011 Posts 92 Reaction score 14 Apr 2, 2012 #22 mpaka hapo Hongera sana CDM, na hongera sana Nasari. CCM msifikirie kuchakachua manake mkishinda arumeru ni aibu kwenu na kujidharirisha kwa wapiga kura kwani asiyekubali kushindwa sio mshindani.
mpaka hapo Hongera sana CDM, na hongera sana Nasari. CCM msifikirie kuchakachua manake mkishinda arumeru ni aibu kwenu na kujidharirisha kwa wapiga kura kwani asiyekubali kushindwa sio mshindani.
M maramojatu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2012 Posts 2,012 Reaction score 2,644 Apr 2, 2012 #23 nasari mbunge -