GE2025 Matiko awekewa pingamizi Tarime

GE2025 Matiko awekewa pingamizi Tarime

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Yaani alikua na kadi ya CCM ila alikua mbunge wa Chadema!! Hii nchi kuna mambo yanakera sana
 
Pingamizi tamu kama biriani ila halifiki mezani, aliebeba sinia anajikwaa na kuanguka alafu biriani lote linamwagika kwenye maji machafu. Mahakama itatupilia kule pingamizi na Matiko anakua mbunge kama kawaida.
 
Pingamizi litatupwa kirahis tu kwa hoja kuwa mahakama haimzuii mtu kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
 
Back
Top Bottom