Mathematician proved failure and they have to acknowledge it.

vitangaye

Member
Jul 28, 2015
45
26
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.

imbecile!!!,,, hujui unaloongea.. umesoma HKL unataka kuproove wrong mathematicians?,
 
Hiyo ya biblia ni dhana ya kiimani zaidi ilokuwa inalenga kuleta mshikamo thabiti kati ya wanandoa kwa maana hawa watu ukiwaambia nyie ni miili miwili tofauti ile nguvu ya mshikamo inawezakuwa dhaifu ila hesabu inakuonyesha kila kimoja katika nafasi yake kwa maana kwamba nkichukua hiki nkaongeza na hiki napata hiki.
 
Me bana sio
Msomi mzuri wa Bible japo ilo neno ni common sana, ila nadhani dhana mzima ipo hapa kwa wale wataalum wa Coorparate Finance nadhani wataelewa na kunisahihisha kwa upana zaidi uko kuna kiu kinaitwa Synergy kutokea hapo labda naweza kupata maana ya bible ilikuwa Nini sasa iyo Synergy ni ile hali ya kuunganisha au muingiliano wa kampuni au Mashirika mawili au zaidi na kuunda shilika moja au kampuni ambalo litakuwa na nguvu zaidi ya yale mawili au matatu ambayo yalikuwepo awali

Sasa kutoka kana na iyoo Ideal ya Synergy na ndio maana nadhani Bible ilikuja na iyo ya kusema 1+1=1 kwa maana akiwepo mwanaume peke yake na mwanamke peke hawatakuwa na nguvu sawa kama hawa wawili wakifanya ushirika

Ilo nadhani ndio maana kimahesabu utapata tabu kuilewa iyo Ideal ya Bible ilikuwa Nini hasa

1+1=1 sa
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
Hahaaaa...,
numbers don't lie but people lie - Sugu
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
As a MATHEMATICIAN there is a quite difference btn religious issues and scientific issues so kwenye bible waliposema kwamba watakuwa mwili mmoja it means kwamba wanatakiwa wawe kitu kimoja kimawazo katika kumcha mungu na kutenda Yale yaliyo mema but mathematically these are two people in terms of summation so don't confuse MATHS with BIBLE
 
Sidhani kama kuna Mathematics imeshindwa kuwa proved.Kuungana kunakozungumzwa hapo ni muunganiko wa Kibaolojia.Hivi Sperm toka kwa mwanaume inapoungana na Ovum toka kwa Mwanamke hujui kama in the first place kunatokea Single Cell(Zygote)?
Ni dhahiri 1+1 is one.Hapo ndipo Baba wa Namba (Mungu) anapothibitisha huo ukweli.
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.[/QUO
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
Kasome number theory Na logic Alf Ndo u construct proof kuwa 1+1=1
 
Mathematics 1+1=2
Spirituality 1+1=1
Politically 1+1= 1
Eg Tanganyika+Zanzibar= Tanzania
Also 1+1=2 is Tanganyika+Zanzibar=Tanzania bars+ Tanzania visiwani.
Pia
1+1=3 yaani Tanganyika+Zanzibar= Tanganyika ,Zanzibar na Tanzania(Rejeaserikali tatu).
Number don't lie
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
Pamoja na kwamba unajigamba kwamba ulikuwa unaongeza maarifa , nataka nikuhakikishie kwamba wewe umeshapoteza mwelekeo kwa sababu katika mazingira ya kawaida huwezi kutafakari kitabu kitakatifu kwa mtizamo kama huo ulio nao wewe. Mwili mmoja unaozungumziwa ni katika imani, kwamba mme ampende mke na mke ampende mume wake katika mazingira yote ya shida na raha, kuvumiliana kila mmoja akubali mapungufu ya mwenzake na sio unakuja hapa jf inaanza kutoa povu.
 
Mkuu Bible haidanganyi wala hesabu haidanganyi kwenye huo mstari umesema kuwa mwanaume ataambatana Na mkewe nao watakuwa mwili mmoja just simple mathematics angalia neno 'ambatana' inamaanisha kwenda pamoja yani (1*1) moja Mara moja ngapi??
 
Back
Top Bottom