CCM kimekua kikitumia nguvu na gharama kubwa sana kupata mahudhurio ya watu mikutano yake.
Yaani bila motivation mambo hayaendi.
Ni lazima wakodi wasanii na kukodi mabasi na fuso ili kusomba watu.
Kwa chama kinachojinadi kuwa kinaungwa mkono na watanzania wengi, this is pathetic!
Yaani bila motivation mambo hayaendi.
Ni lazima wakodi wasanii na kukodi mabasi na fuso ili kusomba watu.
Kwa chama kinachojinadi kuwa kinaungwa mkono na watanzania wengi, this is pathetic!