Mateso ya CCM.

Mateso ya CCM.

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,980
CCM kimekua kikitumia nguvu na gharama kubwa sana kupata mahudhurio ya watu mikutano yake.

Yaani bila motivation mambo hayaendi.

Ni lazima wakodi wasanii na kukodi mabasi na fuso ili kusomba watu.

Kwa chama kinachojinadi kuwa kinaungwa mkono na watanzania wengi, this is pathetic!
 
Hao wasanii si wanakodiwa bali wanaenda kwa mapenzi yaomna CCM. Kumbuka CCM ina watu wengi wa kila kada wakiwemo wasanii. Kama tungemkodi Afande Sele, Sugu ama Prof Jay ndo ungekuwa na jeuri ya kuongea. Ila kuhusu akina Diamond ama TOT hapo shut up
 
Hao wasanii si wanakodiwa bali wanaenda kwa mapenzi yaomna CCM. Kumbuka CCM ina watu wengi wa kila kada wakiwemo wasanii. Kama tungemkodi Afande Sele, Sugu ama Prof Jay ndo ungekuwa na jeuri ya kuongea. Ila kuhusu akina Diamond ama TOT hapo shut up

Ndivyo MNAVYOONGOPA..!
Embu siku wafanye mkutano bila wasanii na malori ya kusomba watu kama wataona mtu!
 
Tukutane oct 25, "sema hapana kwa ccm,imetunyonya sana"
 
Mwaka huu hata kama mngemleta 50 cent mtaisoma namba.....
 
CCM IMECHOKWA KWA WIZI WA MALI ZA UMMA NA AHADI ZA UONGO,sasa wanawakodi wasanii ila angalau watu waingie kwenye mikutano yao,kwasababu bila hivyo wananchi hawataenda...KURA YETU NI KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA
 
CCM kimekua kikitumia nguvu na gharama kubwa sana kupata mahudhurio ya watu mikutano yake.

Yaani bila motivation mambo hayaendi.

Ni lazima wakodi wasanii na kukodi mabasi na fuso ili kusomba watu.

Kwa chama kinachojinadi kuwa kinaungwa mkono na watanzania wengi, this is pathetic!

burudani ni sehemu ya campaign ni uhamasishaji...?
 
burudani ni sehemu ya campaign ni uhamasishaji...?

Mnaburudisha watu wenye njaa!

Watu wanataka muwaeleze mnawaachaje baada ya miaka ya hamsini ya udunifu wa maisha yao?
 
Ebu siku ccm mfanye mkutano bila wasanii tuonee...
 
Hao wasanii si wanakodiwa bali wanaenda kwa mapenzi yaomna CCM. Kumbuka CCM ina watu wengi wa kila kada wakiwemo wasanii. Kama tungemkodi Afande Sele, Sugu ama Prof Jay ndo ungekuwa na jeuri ya kuongea. Ila kuhusu akina Diamond ama TOT hapo shut up

Wasanii wanawapenda ccm.usitufanye si wajinga kutudanganya wasanii mnaitwa na msanii mwenzenu kwa ajili ya maslihai yao na ndo kazi yao..lizaboni kila siku unazidi kuwa mwongo
 
burudani ni sehemu ya campaign ni uhamasishaji...?

Mnaburudisha watu ambapo mmwshindwa kulipa mishahara ya walimu?? Hosipitali hazina dawa!! Watoto wanakaa chini!! Mafuta ya taa bei juu wazazi wetu wanakuwa na macho mekundu kwa kutumia kuni badala ya vibatari?? Wanafunzi kukalia mawe?? Vyuoni hawapewi dhamana ya elimu??
Tukutane ocktober
 
Back
Top Bottom