Matatizo ya St. Joseph Arusha campus


Hahahahahh nimekusomaa nduguuu siwezi kusoma course za wanawake PSPA ndo ninii we mwanaume course ganii unasoma alafuu angalia na maisha ya kwenu sio unasoma tuu bora hata uyoo mwalimu mwenye marks ndogo za st joseph atapata ajira shame on you hahahahahhhau
 

PSPA ni course ya watoto wa kike tena wale wazuuuuuuuuriiiiii ili akienda ofisin kuomba kazi bosi achanganyikiwe hatimaye kupewa kazi sasa wew lijitu nani atakupa kazi hahahahahaha ila kweny huu Uzi umewajambisha vijana balaaa hadi usiku nahisi wanakuota aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…