Sim yako inatakiwa uwe unaitumia bila kuwa na halaka ili fungue app talatibu au kama iko slow sana angalia memory ya RAM kama ipo ya kutosha.kufanya hivyo ingia sehem ya setings 2.manage app.kwa chini ya disply kulia utaona imebaki memory kias gan.inatakiwa ibaki mb 40./na ibaki gb 1 kwa zile zenye gb3 bultin memory-au jaribu kuzipunguza apps ambazo nikubwa kama whatsup au nyingine ambazo hazina ulazima