mi nashindwa kuelewa walimu kulalamikia mishahara midogo nani wa kulaumiwa? je cwt kazi yake ni nn,au kazi yao ni kula pesa za walimu! mfano,kwa musoma vijijin hata pesa za matawi cku hizi kuleta ni tatizo! nchi hii inatupereka wapi,nani atakuwa msaada kwa walimu kama hata chama chao cha walimu ndo mafisadi.Nawasilisha