jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Naomba mnisaide kitu kimoja kwa sasa ni shida ya mifupa ya miguu kuisha nguvu na kuchoka hata kutembea kidogo na hata nikijaribu kuiminya miguu inauma sasa toka kwenye magoti kwenda chini ..Wataalam naomba mnisaide shida ni nini na matibabu yake ni nini hasa..