Matapeli ya burungutu Moshi yataacha lini huu utapeli uliopitwa na wakati?

realoctopus

JF-Expert Member
May 11, 2014
3,232
1,982
Leo asubuhui nikiwa najipitia zangu hapa mjini Moshi nimeshuhudia jambo la ajabu sana,yaani kuna watu wazima na familia zao kabsaa,eti wanafanya kazi ya kutapeli kwa aina hiyo.

Kwa jinsi walivo ji target,ni kama wahanga wao wakuu ni wanafunzi,wadada wanaotumwa kufanya shopping za nyumbani na dukani.

Hawathubutu kuwadondoshea watu wanaooneka kama wajanja au maaskari.

Sijui wanatumia dawa za kalumanzira kuwaibia watu au ni akili kubwa,nimewashindwa aisee.

Wandugu nisaidieni ushauri.
 
bora wabaki na kazi hiyo hiyo maana wametuaribia upinzani kabisa. Hebu jiulize kuna tofauti gani kati ya mbinu hiyo na kusubiri fisadi ashindwe kwenye kura za maoni ndio mmfanye mgombea wetu, miakamitano inapita bila kuandaa mtu wa kugombea?
 
Uko moshi huwa nasikia hakuna wizi wala ujambazi...ni mahala pa watu wastaharabu.wasomi.wafanyabiashara wakubwa.matajiri watoto.
 
Manispaa ya moshi inaongoza kwa rushwa, takwimu za hivi karibuni, hao jamaa ukiwafuatilia sana utakuta ni ukawa tu..
 
Wataacha vipi na wakati wateja wa wauru na wakibosho bado wapo kibao
 
Back
Top Bottom