Wametengeneza tangazo la nafasi za kazi ya uhasibu na umeneja halafu jinsi ya ku apply wameweka namba ya simu ili uwapigie, ukiwapigia watakutaka kiasi fulani cha fedha. Unaweza ukawatrack ili ujue wanaibajeibaje.Kigezo gani umetumia kujua kama wezi hao?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ndugu,
Kuwa makini na watu hawa wanjifanya ni ma supervisor Uchumi Quick mmoja anajiita Anna 0714070332 .na mwingine Alex 0659603292.
Kuwa makini na hizo namba.