Hao jamaa ni wapuuzi sana. Halafu staili yao ni kama inafanana. Walijaribu kuniingiza mkenge kwa staili kama hii. Nilipostuka ni pale aliyetakiwa kuniletea mzigo kudai kwenye malipo ya 400,000 "kuwatoa" wahasibu ili watoe risiti plain kapungukiwa kama 190,000 kwa sababu alikuwa likizo kwahiyo hayupo vizuri kifedha. Kwahiyo eti nitoe hizo 190,000 halafu tutakatana kwenye pesa ya mzigo!!
Njia ya kwanza kabisa ya kuepuka utapeli ni kukariri kichwani mwako kwamba "hakuna fedha inayopatikana kirahisi bila kuitolea jasho". Tamaa ndiyo uponza wengi hadi kutapeliwa na pia huruma iliyopitiliza. Nasema hivi kwa sababu kuna wengine wanaotapeliwa si kwa sababu walikuwa na tamaa ya kupata fedha za haraka haraka ila ni kwa sababu ya kuwa na huruma ya kupitiliza kwa wengine hivyo kufikia kutoa msaada bila kujiridhisha kwanza na uhalali au uhalisia wa shida ya anaehitaji msaada.
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan
mkuu mt.j hii yako ilinikuta na mimi, ila wlibadili kidogo tu, mimi walinambia dawa ya kunyunyiza katika visima vya maji huko ktk migodi serengeti, ili maji yawe salama! tuliposhindwana ni pale nilipowaambia sina laki5 ya kumpa muhasibu anaetaka nimpe hela, anipe risit, tukaanza kutukanana!
Ila wajanja kiasi. Maelezo yao yanashawishi kiasi fulani na ukichangia na shida za watu na kutamani pesa za chap chap nadhani kuna wanaowapata.Nahisi hao jamaa baada ya kujaribu kunitaperi walikuja kwako maana maelezo yako ni copyright.
Ila wajanja kiasi. Maelezo yao yanashawishi kiasi fulani na ukichangia na shida za watu na kutamani pesa za chap chap nadhani kuna wanaowapata.
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.
Majina yao ni;
David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**
Hizi ni msg zao;
Spear ni Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.
P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=
Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!
Mimi nilishituka mwishoni sana
Nasubiri nimpate aliyetapeliwa maana inaonekana nyote mlikuwa wajanja. Haiwezekani kwani kama hakuna ambao wanaingizwa mkenge wangeacha. Nasubiri sitoki
Nishakumbana nao wakiniingia na dili la dawa za kuzuia dumuzi kwa ajili ya chakula cha wafungwa kambi za wakimbizi (UNHCR) wanaongea kiingereza balaaa!!!!
matapeli wako kibao siku hizi wengi wanaingizwa chaka kwa utapeli wa kimtandao siku hizi ukizubaa wanakulamba yaani
sijui hawa wasimamizi wa mitandao tcra wako wapi?
Mkuu hiyo sentensi ya mwisho imeniacha hoi!mi walinipigia wakaniamnia habari za biashara.ya vinyago na wakataka nilipie laki nne ya kusafirisha vinyago vyenye thamani ya milion 10 halafu waulete mzigo kwangu ili mnunuaji aukute kwangu anipe hzo 10 miluon halafu nigawane nao wao wachukue 7 waniachie mimi 3 milion. nikawashtukia na nikawaambia hawawezi kuniibia. Baadaye jamaa aliyejiita dalali akaniambia nimpe namba ya mtu ninayemchukia ili wamtapeli.
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan
mi walinipigia wakaniamnia habari za biashara.ya vinyago na wakataka nilipie laki nne ya kusafirisha vinyago vyenye thamani ya milion 10 halafu waulete mzigo kwangu ili mnunuaji aukute kwangu anipe hzo 10 miluon halafu nigawane nao wao wachukue 7 waniachie mimi 3 milion. nikawashtukia na nikawaambia hawawezi kuniibia. Baadaye jamaa aliyejiita dalali akaniambia nimpe namba ya mtu ninayemchukia ili wamtapeli.