Inaashiria baadhi ya wasomaji wa haya magazeti ni wateja wazuri wa hawa wataalamu wa tiba asilia.
Matangazo yanayoshika chati ni pamoja na;
1) Kuongeza nguvu za kiume
2) Kuleta mvuto wa mapenzi
3) Kumrudisha mchumba (hapa nadhani ni kwa penzi lililochuja)
4) Kupata mali au kurudisha mali iliyopotea
Hawa wataalamu wa tiba asili wasingeendelea kutangaza kwa muda mrefu kupitia magazeti haya kama response sio nzuri kutoka kwa wateja wao.
Inaashiria baadhi ya wasomaji wa haya magazeti ni wateja wazuri wa hawa wataalamu wa tiba asilia.
Matangazo yanayoshika chati ni pamoja na;
1) Kuongeza nguvu za kiume
2) Kuleta mvuto wa mapenzi
3) Kumrudisha mchumba (hapa nadhani ni kwa penzi lililochuja)
4) Kupata mali au kurudisha mali iliyopotea
Hawa wataalamu wa tiba asili wasingeendelea kutangaza kwa muda mrefu kupitia magazeti haya kama response sio nzuri kutoka kwa wateja wao.
Umeshasema magazet ya Udaku. Hata wanaonunua ni wale wale wapenda Umbea, majungu, fitina. Halafu tangazo bei ipo chini labda buku 5. Wajaribu the guardian, nipashe, citizen na mwananchi.