Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
Ivi kumbe ukipata ajali au ukiathirika na pombe unatibiwa na serikali?
Ni wapi huko aisee nduku moleli?
Pili je, Chanzo pekee cha maovu ni pombe?
Vipi hawa wachungaji wanaobaka na kuzaa na mahausigeli ilihali hawanywi?
Tatu ungalijuwa mchango wa pombe kwenye barabara unazosafiria na mishahara ya wanaokuhudumia
usingaliisema vibaya kiasi hiki.
Tatizo mnaanzisha ugomvi halafu mnaingia mitini njoo ujibu hoja zetu mollel arusha.
Ni wapi huko aisee nduku moleli?
Pili je, Chanzo pekee cha maovu ni pombe?
Vipi hawa wachungaji wanaobaka na kuzaa na mahausigeli ilihali hawanywi?
Tatu ungalijuwa mchango wa pombe kwenye barabara unazosafiria na mishahara ya wanaokuhudumia
usingaliisema vibaya kiasi hiki.
Tatizo mnaanzisha ugomvi halafu mnaingia mitini njoo ujibu hoja zetu mollel arusha.