Nimekuwa Nikifuatilia haya matangazo ya magodoro,
Tangazo la kwanza lilimuhsu Shomari Kapombe alipokuwa akikipiga Lunyasi, Tangazo la sasa linawahusu wachezaji Ramadhani Singano na Jonas Mkude (SSC)
Why?
dadavua la sivyo unakula ban
ni wachezaji nyota,kwahiyo wanamfuto wa biashara,wanapendwa.dadavua la sivyo unakula ban