Matangazo ya kwenye app

Yato

Member
Joined
Dec 22, 2015
Posts
14
Reaction score
4
Mi naomba msaada wa kutoa Matangazo kwenye app niliyo install kwenye simu yangu natumia tecno c9 yaani mfano nimedownload AVG AntiVirus basi unakuta kunapicha za video wadada wanchezea simu zao wapo uchi basi napatwa na hasira Sana kwani simu yangu siwezi kumpa mtoto acheze game, naumia Sana Nisaidieni
 
Inabidi uDownload application ya kustopisha hayo matangazo play store.
 
Kama hutaki ads ni kununua software tu, maana vitu vya free lazima ukubaliane na madharti.
 
Usidowloa apps kutoka sehemu nyingine yoyote zaidi ya Play Store, app za Play store ziko verified na scanned for malware.

Pia simu haihitaji antivirus unaua battery tu na kupunguza performance kwa kurun AVG.
 
Usidowloa apps kutoka sehemu nyingine yoyote zaidi ya Play Store, app za Play store ziko verified na scanned for malware.

Pia simu haihitaji antivirus unaua battery tu na kupunguza performance kwa kurun AVG.
mi yangu ndo shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana
angalia picha
 
mi yangu ndo shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana
angalia pichaView attachment 413961
Hii sijawahi kuona, umeroot? unainstall apps ambazo sio za Play?
Nakushauri ubackup data zako za muhimu kisha jaribu kureset simu, hii itafuta kila kitu na hopefully itafuta huyo virus ila wengine huwa hawatoki hata kwa reset.
 
Tafuta app ya adblock plus (ABP) kisha install, baada ya hapo kila unapoactivate inasaidia kuzuia matangazo ya apps katika simu yako hasa ukiwasha data.
 
mi yangu ndo shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana
angalia pichaView attachment 413961
Huyo ni malware mkuu,unaweza mtoa kwa baadh ya software au kwa kuflash tu simu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…