Shetani ni utendaji mwovu, hata binam akiwa mwovu sana tunaweza kumwita shetani,
Sasa pengine mtoa mada hajui hathari hasi za matambiko, madhara ya kutambikia miungu au mizimu!
Mimi ninae andika hapa najua tena nayajua haswa! Nimeyafanya kiuhalisia (practicing) sio dhana tu ya kuandika au kusikia! Na baada ya kuona madhara yake tukakimbia huko!
Matambiko ni ibada ya shetani totally! Kuabudu mizimu (miungu) kwa kutoa mnyama kama kafara etc Mbuzi, kondoo, kuku au ng'ombe! Vyakula , mimea au vinywaji ni kuabudu shetani! Na wanaofanya hivyo either kwakujua or kutokujua ni mawakala wa shetani! Either wanajua or hawajui! Amkeni!