Ni Rahisi sana kuhimili mashambulizi ya Shetani kuliko kutandikwa na Mungu

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
22,353
34,728
Salaam, Shalom!!

Ni Rahisi sana kutolewa ugonjwa au LAANA iliyosababishwa na Hila za shetani na mapepo yake, lakini ugonjwa au LAANA Toka Kwa Mungu au wazazi huna namna ya kuiondoa.

Ukipatwa na LAANA Toka Kwa Mungu au wazazi waliokulea, huwezi pata msaada kwingine kokote, hayupo wa kukuombea, ni sharti urudi Kwa uliyemkosea.

Ukishambuliwa na shetani na Majeshi yake, Ukiwa katika mikataba ya kishetani ukakiuka masharti na kutupiwa vipande, ukirudi na kutubu, ukajisalimisha Kwa Mungu aweza kukuokoa, lakini ukikosana na Mungu, ukaasi, akaachilia LAANA, hayupo wa kukusaidia, hayupo wa kukufungua Hadi urudi Kwa Mungu baba Yako umalizane naye aondoe adhabu,

Shetani anajua tu kuua, kuponya hajui, anajua kuharibu tu, kutengeneza hajui, Hana chembe ya Upendo, ni negative Kwa kwenda Mbele. Shetani hajui kubariki Bali kulaani pekee,

Mwogope sana Mungu mwenye uwezo wa

1. Kubariki na kulaani.

2.Huua na kuhuisha tena.

3. Huadhibu na kurehemu pia.

Sasa Mungu ndiye wa kumkimbilia na kumtegemea, ni baba Mwema.

Ikiwa unapenda kurudisha uhusiano na Mungu wako, fuatisha Sala hii,

Ee Mungu katika jina la Yesu Kristo, ninakukiri wewe kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, ninatubu dhambi zangu zote, ninaomba unisamehe, ulifute jina langu katika kitabu cha hukumu, uliandike jina langu katika kitabu cha uzima, nipe uwezo wa kuishi maisha matakatifu, dhambi isinishinde, uovu usinishinde, ulevi usinishinde, ninaomba hayo kupitia jina la Yesu Kristo aliye Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Aamen
 
Yaani una LAANA ya mzazi,ulimtukana au kumvunjia Heshima yake, ulimkufuru Mungu nk nk, Badala ya kurudi kutubu Kwa Mungu/ mzazi, unazunguka Kwa wachungaji wakuombee,

Na Kwa kuwa wengi ni vipofu kiroho, hawakwambii UKWELI unabaki na LAANA Yako.

Mungu atusaidie.
 
Ni Rahisi sana kupigana na wachawi elfu kumi ukawashinda,

Lakini kamwe Usijaribu kushindana na Mungu hasira yake inapowaka juu Yako, shuka chini ukatubu.
 
Amen

Japo kuwa umesahau kuwa mbia kuwa MWENYEZI MUNGU ni mpole sana
Mungu pia ana hasira, huchukia sana dhambi na UOVU,

Ila anawapenda sana waovu na wenye kutawaliwa na DHAMBI,

Huwapiga waovu Ili wagundue dhambi waliofanya, wageuke na kutubu.

Usipotubu utaangamizwa Kwa upanga. Ukitubu utakuwa salama.
 
Mungu pia ana hasira, huchukia sana dhambi na UOVU,

Ila anawapenda sana waovu na wenye kutawaliwa na DHAMBI,

Huwapiga waovu Ili wagundue dhambi waliofanya, wageuke na kutubu.

Usipotubu utaangamizwa Kwa upanga. Ukitubu utakuwa salama.
Amina
 
Salaam, Shalom!!

Ni Rahisi sana kutolewa ugonjwa au LAANA iliyosababishwa na Hila za shetani na mapepo yake, lakini ugonjwa au LAANA Toka Kwa Mungu au wazazi huna namna ya kuiondoa.

Ukipatwa na LAANA Toka Kwa Mungu au wazazi waliokulea, huwezi pata msaada kwingine kokote, hayupo wa kukuombea, ni sharti urudi Kwa uliyemkosea.

Ukishambuliwa na shetani na Majeshi yake, Ukiwa katika mikataba ya kishetani ukakiuka masharti na kutupiwa vipande, ukirudi na kutubu, ukajisalimisha Kwa Mungu aweza kukuokoa, lakini ukikosana na Mungu, ukaasi, akaachilia LAANA, hayupo wa kukusaidia, hayupo wa kukufungua Hadi urudi Kwa Mungu baba Yako umalizane naye aondoe adhabu,

Shetani anajua tu kuua, kuponya hajui, anajua kuharibu tu, kutengeneza hajui, Hana chembe ya Upendo, ni negative Kwa kwenda Mbele. Shetani hajui kubariki Bali kulaani pekee,

Mwogope sana Mungu mwenye uwezo wa

1. Kubariki na kulaani.

2.Huua na kuhuisha tena.

3. Huadhibu na kurehemu pia.

Sasa Mungu ndiye wa kumkimbilia na kumtegemea, ni baba Mwema.

Ikiwa unapenda kurudisha uhusiano na Mungu wako, fuatisha Sala hii,

Ee Mungu katika jina la Yesu Kristo, ninakukiri wewe kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, ninatubu dhambi zangu zote, ninaomba unisamehe, ulifute jina langu katika kitabu cha hukumu, uliandike jina langu katika kitabu cha uzima, nipe uwezo wa kuishi maisha matakatifu, dhambi isinishinde, uovu usinishinde, ulevi usinishinde, ninaomba hayo kupitia jina la Yesu Kristo aliye Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Aamen
SIJUI NIKUJIBU NINI KWASABABU WEWE NI MCHANGA SANA, HAKUNA MTU HATA MMOJA AFRICA ALIYEGUSWA NA SHETANI

SHETANI AKISHUKA TANZANIA KWA AJILI YA KUWACHAPA BAKORA HAMTAWEZA KUKAA KWENYE HII ARDHI USIFIKIRI NI MDOGO KAMA AKILI YAKO INAVYOKUDANGANYA

AKISHUKA VIBAYA HAPA HAKUNA NDEGE HATA MOJA ITAKAYOWEZA KUKAA ANGANI LAZIMA ZOTE ZIANGUKE MTAKACHOKIONA BAHARINI NI TSUNAMI

SITAKI KUONGEA SANA
VIBWENGO NA VINYAMKERA NA MAJINI MNAOCHEZA NAO KILA SIKU MKIPAKANA MAVI MNAFIKIRI HAO NDIO SHETANI SIO

NINYI KUMBE AKILI ZENU NDOGO KIASI HIKI SIO
 
SIJUI NIKUJIBU NINI KWASABABU WEWE NI MCHANGA SANA, HAKUNA MTU HATA MMOJA AFRICA ALIYEGUSWA NA SHETANI

SHETANI AKISHUKA TANZANIA KWA AJILI YA KUWACHAPA BAKORA HAMTAWEZA KUKAA KWENYE HII ARDHI USIFIKIRI NI MDOGO KAMA AKILI YAKO INAVYOKUDANGANYA

AKISHUKA VIBAYA HAPA HAKUNA NDEGE HATA MOJA ITAKAYOWEZA KUKAA ANGANI LAZIMA ZOTE ZIANGUKE MTAKACHOKIONA BAHARINI NI TSUNAMI

SITAKI KUONGEA SANA
VIBWENGO NA VINYAMKERA NA MAJINI MNAOCHEZA NAO KILA SIKU MKIPAKANA MAVI MNAFIKIRI HAO NDIO SHETANI SIO

NINYI KUMBE AKILI ZENU NDOGO KIASI HIKI SIO
Huwa unasoma maandiko?

Shetani alimjaribu Yesu akiwa wapi?

Tena unasema akishuka, Toka wapi?
 
Huwa unasoma maandiko?

Shetani alimjaribu Yesu akiwa wapi?

Tena unasema akishuka, Toka wapi?
NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, MARA TATU NAKUITA, SIPO HAPA KUBISHANA,

JINA SHETANI JEPESI SANA KUTAMKA MKADHANI NI MWEPESI KAMA MNAVYOTAMKA JINA SIO,
CHEZA NA VITU VYOTE HAPA DUNIANI KAMWE USITHUBUTU KUCHEZA NA NENO SHETANI ITAGUGHARIMU HATA UHAI WAKO
 
NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, MARA TATU NAKUITA, SIPO HAPA KUBISHANA,

JINA SHETANI JEPESI SANA KUTAMKA MKADHANI NI MWEPESI KAMA MNAVYOTAMKA JINA SIO,
CHEZA NA VITU VYOTE HAPA DUNIANI KAMWE USITHUBUTU KUCHEZA NA NENO SHETANI ITAGUGHARIMU HATA UHAI WAKO
Sasa aliye na YESU ndani yake, ana mamlaka na nguvu kuliko huyo shetani,

Ukimuamrisha Kaa anakaa, chuchumaa anachuchumaa, kimbia anakimbia,

Muulize shetani kama una namba yake, muulize au tamka tu Jina YESU uone habari yake.
 
Sasa aliye na YESU ndani yake, ana mamlaka na nguvu kuliko huyo shetani,

Ukimuamrisha Kaa anakaa, chuchumaa anachuchumaa, kimbia anakimbia,

Muulize shetani kama una namba yake, muulize au tamka tu Jina YESU uone habari yake.
SIJUI NIKUFUNDISHE KWA VITENDO

FANYA HIVI, NENDA KATUKANE JESHI LA TANZANIA, UKIMALIZA TUKANA LA AFRICA, UKIMALIZA TUKANA LA ASIA, UKIMALIZA TUKANA LA ULAYA IKIWEMO MAREKANI

UKIFANIKIWA KUTUKANA MAJESHI YA MABARA YOTE HAPA DUNIANI NA WAKASHINDWA KUPAMBANA NA WEWE NITAFUTE NIKUPE JESHI LINALOFUATA BAADA YA HAYA
 
SIJUI NIKUFUNDISHE KWA VITENDO

FANYA HIVI, NENDA KATUKANE JESHI LA TANZANIA, UKIMALIZA TUKANA LA AFRICA, UKIMALIZA TUKANA LA ASIA, UKIMALIZA TUKANA LA ULAYA IKIWEMO MAREKANI

UKIFANIKIWA KUTUKANA MAJESHI YA MABARA YOTE HAPA DUNIANI NA WAKASHINDWA KUPAMBANA NA WEWE NITAFUTE NIKUPE JESHI LINALOFUATA BAADA YA HAYA
Mimi NIKO hapa ninae Yesu,

Njoo upambane nami kama utatoboa.
 
Mimi NIKO hapa ninae Yesu,

Njoo upambane nami kama utatoboa.
TWENDE KWA VITENDO SASA, ILI UNIELEWE USIPOFANYA KWA VITENDO HUTAJUA UKWELI

ANZA PALE LUGALO KESHO
NATAKA NIKUFUNDISHE UKUBWA WA HILI JAMBO MWISHO UTAFAHAMU KAMA NI MDOGO AU MKUBWA
 
TWENDE KWA VITENDO SASA, ILI UNIELEWE USIPOFANYA KWA VITENDO HUTAJUA UKWELI

ANZA PALE LUGALO KESHO
NATAKA NIKUFUNDISHE UKUBWA WA HILI JAMBO MWISHO UTAFAHAMU KAMA NI MDOGO AU MKUBWA
Huyo shetani mnayemheshimu,

Sisi anatetemeka akituona,

Yesu ni habari ingine kwenye battle field.
 
Huyo shetani mnayemheshimu,

Sisi anatetemeka akituona,

Yesu ni habari ingine kwenye battle field.
NDUGU YANGU USIPOFANYA KWA VITENDO KAMA NINAVYOKUELEKEZA HUTAJUA UKWELI

WATU WENYE UELEWA MPANA HUWA HAWATHUBUTU KABISA KUCHEZA NA HILI JINA HUWA WANAKIMBIA

CHEZA NA VITU VYOTE HAPA DUNIANI HUKO USIFIKE KAMWE
 
Ni Rahisi sana kupigana na wachawi elfu kumi ukawashinda,

Lakini kamwe Usijaribu kushindana na Mungu hasira yake inapowaka juu Yako, shuka chini ukatubu.
Ukiuza roho yako kwa kaka sheta vp huyo mungu anaweza kuirudisha?
 
NDUGU YANGU USIPOFANYA KWA VITENDO KAMA NINAVYOKUELEKEZA HUTAJUA UKWELI

WATU WENYE UELEWA MPANA HUWA HAWATHUBUTU KABISA KUCHEZA NA HILI JINA HUWA WANAKIMBIA

CHEZA NA VITU VYOTE HAPA DUNIANI HUKO USIFIKE KAMWE
Shetani ni mpumbavu, na baba wa huo.

Sasa huoni Aibu kumuheshimu mpumbavu?
 
Back
Top Bottom