KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi nasikitika sana kuona sisi kamataifa moja tamaduni moja lugha moja tunakuwa na mawazo yakutengana kwakutafuta sababu eti muungano uvunjwe iwepo serikali ya zanzibar naserikali ya tanganyika na serikali ya muungano.
Mimi nasema huu niupungufu wa fikra nauhuni kwanini tusiwe nchi moja? kwanini wanaosema muungano uvunjwe uwa hawana hoja ya msingi?Au tuseme serikali ya zanzibar ndiyo inashinikiza muungano uvunjwe kwa kuwatumia watu?
Nakumbuka kwa jinsi walivyo anza kudai bendera wakadai wimbo wataifa!wamebadilisha katiba yao na kuweka vipengele vinavyokinzana na katiba ya Jamuhuri ya Muungano je Serikali ya JMT aioni kama hii nikasoro ilitakiwa ikemee kwa nguvu zote?
Kama ni hivyo je kesho watadai nini?
Mimi nasema huu niupungufu wa fikra nauhuni kwanini tusiwe nchi moja? kwanini wanaosema muungano uvunjwe uwa hawana hoja ya msingi?Au tuseme serikali ya zanzibar ndiyo inashinikiza muungano uvunjwe kwa kuwatumia watu?
Nakumbuka kwa jinsi walivyo anza kudai bendera wakadai wimbo wataifa!wamebadilisha katiba yao na kuweka vipengele vinavyokinzana na katiba ya Jamuhuri ya Muungano je Serikali ya JMT aioni kama hii nikasoro ilitakiwa ikemee kwa nguvu zote?
Kama ni hivyo je kesho watadai nini?