Maswali yangu kwa uongozi wa CHADEMA

Maswali yangu kwa uongozi wa CHADEMA

moesy

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
3,555
Reaction score
3,539
Serikali mpya ya CHADEMA ikichukuwa nchi novemba 2015...

1marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu hasa wenye tuuhuma za kifisadi watakuwa wanaalikwa kwenye sherehe za kitaifa,

2 Wastani wa mshahara wa mawaziri wenu utakuwa Tsh ngapi?

3 Mawaziri wa CHADEMA wataumia magari ya aina gani?je yaliyopo sasa ya serikali ya ccm mtayapeleka wapi?

4 Wastani wa safari za rais nje ya nchi zitakuwa ngapi kwa mwaka?

5 Sector yenu ya kipaumbele ni ipi au itakuwa ipi? naona CCM wana kilimo kwanza.

6 kati ya marais 4 waliotangulia ni yupi aliyewavutia japo kidogo katika sera zake ambapo mnaweza kuchukua mambo mazuri machache na kueendele nayo.
 
Mnajaza server za jf tu kwa pumba topic kama hii ama na wewe ulitaka kuonekana umeanzisha mada?
 
Serikali mpya ya CHADEMA ikichukuwa nchi novemba 2015...

1marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu hasa wenye tuuhuma za kifisadi watakuwa wanaalikwa kwenye sherehe za kitaifa,

2 Wastani wa mshahara wa mawaziri wenu utakuwa Tsh ngapi?

3 Mawaziri wa CHADEMA wataumia magari ya aina gani?je yaliyopo sasa ya serikali ya ccm mtayapeleka wapi?

4 Wastani wa safari za rais nje ya nchi zitakuwa ngapi kwa mwaka?

5 Sector yenu ya kipaumbele ni ipi au itakuwa ipi? naona CCM wana kilimo kwanza.

6 kati ya marais 4 waliotangulia ni yupi aliyewavutia japo kidogo katika sera zake ambapo mnaweza kuchukua mambo mazuri machache na kueendele nayo.

1. Tutaawalika sio mawaziri wakuu tu na hata mawaziri wote lakini mwaliko utakuwa tofauti kidogo na hii ya mialiko ya kawaida. Sisi tutawaalika wengine mahakama na magereza ya ndani na wale walioshiriki amri za mauaji kwa raia tutacheki eidha tuwanyongee hapa hapa nchini au waende the Hague

2. Kuhusu mishahara watalipwa kwa mujibu wa utendaji wao wa kazi yaani Peace work
3. nadhani zitakuwa chache sana tena za lazima. Rais wetu hata kuwa na haja ya kwenda kujitmabulisha sijui kwa Obama au kina 50 cent na kubembea kule kwa maaire
4. Kwa sababu tutakuwa na utawala wa majimbo yenye mamlaka kamili ya kujiendesha tutakuwa na serikali ndogo nadhani haitakuwa na mawaziri zaidi ya watano hivyo suala la magari hayatakuwa ya gharama sana kama ya sasa ambapo waziri anapanda ndege kwenda Mwanza then dareva wake naye anaendesha gari kumfuata mwanza ili waziri akifika kule aendelee kutumia gari lake kwa sababu za kukwepa ushirikina. Kwa sababu serikali ya CDM haitukuzi ushirikina kama ilivyo sasa tutakuwa fear cha muhimu ni kuhudumia watanzania. kwanza hata hivyo kazi ya uwaziri itakuwa ngumu sana na nina mashaka watu wataikimbia kwa sababu itakuwa ni full uzalendo kazi kwa kwenda mbele hakuna posho wala nini mshahara unatosha.
5. Kwa kweli kipaumbele chetu kitakuwa ni Mtanzania kwanza. Tuhakikishe kila mtanzania anapata maisha bora yeye mwenyewe na Tanzania yake. Tutakuwa na sera mbalimbali kwa makundi mbalimbali yatakayokuwa na lengo moja tu kumtoa Mtanzania kwenye umskini tuliopewa na Magambaz

6. Rais ni nyerere tu kuna uwezekano mkubwa sana baadhi ya Watanzani wakawa mashahidi katika mahakama za ndani na nje kwenye kesi za hawa marais wawili wa Mwisho .

Hayo ni Mawazo yangu kama Mwana CDM kuna mengine viongozi watakaochaguliwa watayafanya kwa ubora na umakini katika kuendesha nchi. Hapa nimetoa skeleton tu ya kile ninachodhani kitafanyika.
 
Naona mkuu umejaribu kuonyesha kwamba wewe ni great thinker!mleta mada atakuwa ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana!
 
Kamanda Mbowe akiwa Serena Hotel alisema akiambiwa ataje vipaumbele vitatu vya nchi, vyote vitakuwa elimu, elimu, elimu
 
Umesoma sera na ilani ya chama kabla ya kuja na hiyo mada?
 
Serikali mpya ya CHADEMA ikichukuwa nchi novemba 2015...

1marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu hasa wenye tuuhuma za kifisadi watakuwa wanaalikwa kwenye sherehe za kitaifa,

2 Wastani wa mshahara wa mawaziri wenu utakuwa Tsh ngapi?

3 Mawaziri wa CHADEMA wataumia magari ya aina gani?je yaliyopo sasa ya serikali ya ccm mtayapeleka wapi?

4 Wastani wa safari za rais nje ya nchi zitakuwa ngapi kwa mwaka?

5 Sector yenu ya kipaumbele ni ipi au itakuwa ipi? naona CCM wana kilimo kwanza.

6 kati ya marais 4 waliotangulia ni yupi aliyewavutia japo kidogo katika sera zake ambapo mnaweza kuchukua mambo mazuri machache na kueendele nayo.

Maswali mazuri lakini naamini yote yamejibiwa / yatajibiwa na katiba
 
najua chadema wameshachukua nchi 2015,ila wasitugeuke kama chama cha mapinduzi walivyotupa matumaini 2005,yaliyotupata watz kamwe hayasauliki
 
najua chadema wameshachukua nchi 2005,ila wasitugeuke kama chama cha mapinduzi walivyotupa matumaini 2015,yaliyotupata watz kamwe hayasauliki
 
Back
Top Bottom