Wakuu kwema?
Kuna mwenye uzoefu wa maswali ya written interview yanayoulizwa ubalozi wa marekani?
Halafu,hivi hawa jamaa huwa wanalipa sh ngapi kwa mtu mwenye degree?
Wakuu kwema?
Kuna mwenye uzoefu wa maswali ya written interview yanayoulizwa ubalozi wa marekani?
Halafu,hivi hawa jamaa huwa wanalipa sh ngapi kwa mtu mwenye degree?
mkuu written yao haina shida kama upo vizuri ktk ngeri na wenyewe hawapimagi professional bali ni earing capacity, vocabulary, english structure na understanding capacity yako kwa kupewa comprehession then hujibu maswali chini yake then panakua hakuna mtu anaewaangalia ata kidogo ni kamera zao tu. Km vp nichek 0715100687
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.