Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Juzi nilimsikia Maalim Seif akiwaambia wakazi wa Arusha kumchagua Profesa 2015, maana Zanzibar washamjua rais wao 2015. Hivi tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania, Seif na Lipumba ndio wagombea kila chaguzi kuu.
1) Je ndani ya CUF hakuna watu wengine wenye uwezo wa kugombea?
2) Je machafuko Zanzibar yalikuwa ni Uroho wa Seif kutaka madaraka?
3) Nani ananufaika na serikali ya Kitaifa? (maisha ya Wazanzibar bado duni, police bado wanapiga mabomu kila week)
4) Kama Zanzibar now shwari, mbona uchaguzi wa Bububu (CUF na CCM) kulitokea fujo kubwa?
5) Nini tofauti ya Muafaka wa Seif na Karume kulinganisha na Muungano wa Nyerere na Karume?
1) Je ndani ya CUF hakuna watu wengine wenye uwezo wa kugombea?
2) Je machafuko Zanzibar yalikuwa ni Uroho wa Seif kutaka madaraka?
3) Nani ananufaika na serikali ya Kitaifa? (maisha ya Wazanzibar bado duni, police bado wanapiga mabomu kila week)
4) Kama Zanzibar now shwari, mbona uchaguzi wa Bububu (CUF na CCM) kulitokea fujo kubwa?
5) Nini tofauti ya Muafaka wa Seif na Karume kulinganisha na Muungano wa Nyerere na Karume?