Wanaojua hao watu ni SMZ na JMT kawaulizeni, kama hakuna jibu kafungueni kesi mahakamani kujua waliko japo binaadamu hatuishi milele,
Mtu mpaka kuhoji hivyo inamaana jibu alipewa na aliempa Data, Sasa kuuliza ni kutafuta choko choko ili kuleta vurugu nchini, watu hawaijui vurugu tunaiona kwenye TV tu, nawaambieni mnaoshabikia mtajuta na hao wanaowajaza ujinga watakimbia kwa wafadhiri wao wa uchochezi, kama mtu anataka madaraka tumia njia husika, shawishi watu kwa hoja siyo kwa uchochezi, nasikitika kuona mnatumiwa vibaya sana.