Maswali muhimu yajibiwe kwa hoja sio propaganda

Maswali muhimu yajibiwe kwa hoja sio propaganda

Wanaojua hao watu ni SMZ na JMT kawaulizeni, kama hakuna jibu kafungueni kesi mahakamani kujua waliko japo binaadamu hatuishi milele,
Mtu mpaka kuhoji hivyo inamaana jibu alipewa na aliempa Data, Sasa kuuliza ni kutafuta choko choko ili kuleta vurugu nchini, watu hawaijui vurugu tunaiona kwenye TV tu, nawaambieni mnaoshabikia mtajuta na hao wanaowajaza ujinga watakimbia kwa wafadhiri wao wa uchochezi, kama mtu anataka madaraka tumia njia husika, shawishi watu kwa hoja siyo kwa uchochezi, nasikitika kuona mnatumiwa vibaya sana.
Hivi njia majama ni watu wa aina gani.. Mbona mnauwezo mdogo sana wa kujenga hoja...ni shule, ni ushamba, ni ujingaa au nini..mtu unaongea utadhani umejaza funza kwenye cranium
 
Wanywa gongo na viroba waliotelekeza familia zao na kukimbilia kujificha dar nao siku hizi wanajiita great thinkers...for that matter najitoa jf

Hivi mbona hata mara moja hujawahi kujibu swali au kuchangia hoja badala yake unakuja na mataputapu ya UKOO wenu?

Inaonekana wazi hili ni tatizo la ukoo wenu kufikiri!
 
Hivi njia majama ni watu wa aina gani.. Mbona mnauwezo mdogo sana wa kujenga hoja...ni shule, ni ushamba, ni ujingaa au nini..mtu unaongea utadhani umejaza funza kwenye cranium

Kawaida hakiri ya mdudu kama wewe huwezi kumuelewa binadam, kifupi mwambie huyo lisu aende baraza la mapinduzi Zanzibar akawaulize asitupigie kelele kwa njaa yake huku.
 
Back
Top Bottom