Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
- Thread starter
- #21
majibu ya maswali yako too obvious, hisia za upendo zimegawanyika, huwezi kumpenda dada yako kama unavyompenda mpenzi wako na ndio katika mapenzi lazima kui involve tendo la ndoa, manake mnapopendana mnaaminiana kiasi cha kuachiana miili yenu, yaani kivingine kwenye romantic relationship kuna kuwa kuna u selfish fulani, labda kama mapenzi yenu yamevuka hatua za awali na kufikia level ya kuwa ma soulmate yaani no matter where your soulmate alipo una confidence kuwa ni wako hata awe na nani, hivyo vyote vinatokea automatically kutokana na asili na yes naamini homosexuals wana matatizo ya akili, kwa sababu hawafuati mifumo ya asili ya mahusiano.
Kama ni obvious mbona hujayajibu? ningekushauri urudie kuyasoma....