Maswali kumi kwa Prof. Kabudi

Maswali kumi kwa Prof. Kabudi

Kiukweli, bado raisi wa Zanzibar ana chaguliwa Dodoma hilo hata ubishe vipi but ndio jibu lake; unakumbuka uchaguzi wa mwaka 2000, ccm Zanzibar iliwaweka kina Dr. Bilali kwenye top 5 candidates ili kupeperusha bendera ya rais wa Zanzibar na Karume Jr wala hakufikiriwa kabisa, all the sudden Karume Jr ndiye aliyekuja kua mgombea na hatimae kua rais wa Zanzibar na Dr. Bilali akawa mgombea mwenza wa muungano, hapo bara tayari ilichagua (for this case Mkapa ndiye aliye mchagua). Uchaguzi wa 2010 again, nyie huko kweny Zanzibar mliisha apa kwa miungu yenu kwamba hakuna Mpemba atakae kua rais wa visiwa hivyo, kama kawaida ccm Zanzibar ilikua na majina yake, Dodoma kama kawaida ilimchagua Mpemba Dr. Shein kua mgombea uraisi Zanzibar (in this case Kikwete ndiye aliyempa uraisi Dr. Shein).
Mkiwa kwenye bunge lenu huko Zanzibar wabunge wote kwa pamoja hua mnausema vibaya muungano but wabunge wa ccm wakifika Dodoma tu akili zote huahamia Kidodoma Dodoma, bado nina amini hata Jecha alishinikizwa na BARA kufanya alicho kifanya, nina amini hivyo and this si why wakati team ya mpira wa miguu Zanzibar ilipofanya vizuri kwenye mashindano ya CECAFA the former president Kikwete ali tweet kuipongeza, JUSA kwa kujua mambo fulani alimlaumu sana Kikwete kwa matokeo ya uchaguzi mkuu ulio pita hadi Zitto aliingilia kati. Bado nina amini Zanzibar sio nchi, labda jibu la mwisho, passport yako ya kwenda nje ya nchi inatengenezewa Dar au Zanzibar!?
 
MASWALI KUMI KWA PROF. KABUDI


Ameandika Dr. Farrell Jnr.

[HASHTAG]#Moja[/HASHTAG]

Unajuwa kuwa Prof. Kabudi ni waziri wa masuala ya bara na hana mamlaka yoyote visiwani. Yaani sheha wa shehia ya Tomondo anaweza kumnyima barua ya ukaazi na isiwe chochote. Hana haki ya kupiga kura zaidi ya yale ya muungano tu, na Wizara yake visiwani ina sehemu ndogo sana ya uwakilishaji kwa sababu ya uwepo wa katiba ya Zanzibar, Wizara ya Sheria ya Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Zanzibar na Waziri wake anaeteuliwa na huyo anaemuota kuwa memba wa mawaziri Bara.

[HASHTAG]#Mbili[/HASHTAG]

Anaemuita Rais wa Zanzibar kuwa member tu wa Baraza la Mawaziri la Muungano, hakupigiwa kura hata moja na wananchi si Tanganyika wala Zanzibar lakini ana nguvu ya kuidogosha nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar anaechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu akibeba maslahi ya kikatiba yanayotambua uwepo wake, BLW na Mahakama Kuu Zanzibar. Kuna “motive” ipi ya kumdogosha mdau mmoja wa muungano na kumtukuza mwengine wakati tuna mfumo uliotukuza heshima za pande mbili tokea kuasisiwa kwake?

[HASHTAG]#Tatu[/HASHTAG].

Kama Rais wa Zanzibar ni memba wa Baraza la Mawaziri tu kwa tafsiri ya kuwa nae ni Waziri asie na wizara maalum basi atujulishe anateuliwa na nani katika nafasi hio kama alivyoteuliwa yeye na wote akiwamo makamo wa Rais anaemteua mwenyewe Rais akiwa kama mgombea mwenza wake? Jee kuna mwengine anaeingia pale kinyemela bila ya uteuzi wa huyo anaeitwa Jemedari Mkuu zaidi ya Rais wa Zanzibar?

[HASHTAG]#Nne[/HASHTAG]

Jee Rais wa Jamhuri anaeongoza vikao vya Baraza la Mawaziri nae anaingia pale akiwa kama nani? Waziri? Au Rais wa Jamhuri? Jee haiwezekani basi kuwa na Rais mwengine anaeingia katika Baraza la Mawaziri kwa sababu ya kofia yake ya Urais tena wa kuchagulia, akiwa na vyombo vyote vya heshima na mamlaka ya Urais ikiwamo katiba, vyombo vya kutunga sheria na mahakama?

[HASHTAG]#Tano[/HASHTAG]

Tuseme kuwamo kwa mwanasheria mkuu wa serikali katika Bunge kuna mhesabu nae kuwa mbunge asie na jimbo au anawakilisha mamlaka yake yanayomvyesha kofia ya kuwa sehemu ya Bunge? Bunge linaitambua nafasi ya Mwanasheria Mkuu kama nani bungeni? Jee Rais wa Zanzibar katika BLW anaingia kwa kofia ipi?

[HASHTAG]#Sita[/HASHTAG].

Kabla ya hapo Rais wa Zanzibar aliingia kama nani? Jee nae kwa vile ni Makamo wa Rais wakati ule hakuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri kwa tafsiri ya kishabik ya Kabudi? Hauoni huu ubabaishaji na uhadaifu wa tafsiri holela ni sehemu ya kero zilizosimamiwa na kamati aliokuwa nae ni mjumbe ilioweka wazi ubabaishaji huu na kuja na formula ya serikali tatu? Basi anasahau kuwa Rais wa Zanzibar ana dhamana ya Umakamo Mwenyekiti wa Chama kinachoongoza nchi?

[HASHTAG]#Saba[/HASHTAG]

Unafaham huwa huyu huyu Profesa Kabudi ndie aliekuwa katika kamati ya Warioba iliochambua mashaka ya katiba ya Muungano na Zanzibar na kufika hadi wakaja na mfumo ambao hakuna yoyote hadi leo alieuikiuka wa serikali tatu huku ya muungano yakiwa machache tena ya pamoja.

[HASHTAG]#Nane[/HASHTAG]

Alilolisema hasa ya kuwa Rais wa Muungano ana haki ya kuingilia na kutoa amri kwa waziri wa SMZ haoni linakwenda kinyume na kauli ya aliemteua kuwa hana mamlaka ya kuingilia ya Zanzibar ikiwamo la Jecha kwa sababu hayamo katika kapu la muungano hasa kwa vile ndie Jemedari Mkuu wa Jamhuri.

[HASHTAG]#Tisa[/HASHTAG]

Jee kuna Waziri anabeba heshima sawa na Rais wa Zanzibar akiwa Zanzibar au Bara, akabeba mamlaka aliokuwa nayo, akachaguliwa kwa kura, akabeba ukuu wa nchi, heshima ya ulinzi kama mkuu wa nchi, katiba inayompa mamlaka ya kugawa mikoa na wilaya atakavyo, uwezo wa kuteua Mawaziri wengine, na protocol nzima ya kijeshi inayolinda heshima ya ukuu wake ikiwamo bendera ya mamlaka yake na ya utambulisho wa nafasi yake katika mamlaka yake?

[HASHTAG]#Kumi[/HASHTAG]

Jee wanakosea watu wanapowaita manyumbu maana muna kiongozi na safu yake, lakini akatokea mtu mmoja, mteule asie na jimbo wala asiejuwa uchungu wa kutafuta kura leo akasimama na matamshi holela likiwamo hili la muliesimama mukamfutia uchaguzi alieshindwa lakini basi tu abaki ili aje adhalilishwe kuwa na nafasi sawa na wateule wengine kama yule Shonza, au Mbarawa alieshindwa uchaguzi wa ubunge Pemba alikokuita vichochoroni na vijiwe i au Kabudi anaeona uteuzi wake ni sawa na nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar na mamlaka yake kwa udhalili wa kiasi hiki?
Kasome vixur katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndo utaona nafasi ya Rais ya Zanzibar katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Ninachokumbuka kipindi cha uchaguzi, wakati watu wanasema Maalim Seif kashinda na wengine wanasema Shein kashinda, ilileta mtafaruku hadi watu kumtaka rais wa muungano aingilie maswala hayo lakini hakuingilia mambo ya Zanzibar kwa vile hakuwa na mamlaka, duh! Sahivi ana mamlaka, Kwa mantiki hiyo kipindi kile kulikuwa hakuna kifungu kinachompa mamlaka ya kikatiba lakini sahivi kipo?
 
Mabishano ya nini ? Ni wazi kabisa katika katiba Zanzibar ni sehemu ya jmt hivyo sio nchi kamili,ni sehemu tu ya nchi-tanzania
 
Mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar hayakuwa na nguvu yoyote kisheria kwani bado Zanzibar katika katiba ya JMT sio Sovereign state A sovereign state is, in international law, a nonphysical juridical entity that is represented by one centralized government that has sovereignty over a geographic area. ... It is also normally understood that a sovereign state is neither dependent on nor subjected to any other power or state., ni jambo la kusikitisha sana kuona Wazanzibar hadi leo hawatambui kuwa muungano ndiyo ulifanya wasiwe sovereign na kwamba wao ni sehemu ya JMT.
Sehemu nyingine ya muungano ni ipi?
 
MASWALI KUMI KWA PROF. KABUDI


Ameandika Dr. Farrell Jnr.

[HASHTAG]#Moja[/HASHTAG]

Unajuwa kuwa Prof. Kabudi ni waziri wa masuala ya bara na hana mamlaka yoyote visiwani. Yaani sheha wa shehia ya Tomondo anaweza kumnyima barua ya ukaazi na isiwe chochote. Hana haki ya kupiga kura zaidi ya yale ya muungano tu, na Wizara yake visiwani ina sehemu ndogo sana ya uwakilishaji kwa sababu ya uwepo wa katiba ya Zanzibar, Wizara ya Sheria ya Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Zanzibar na Waziri wake anaeteuliwa na huyo anaemuota kuwa memba wa mawaziri Bara.

[HASHTAG]#Mbili[/HASHTAG]

Anaemuita Rais wa Zanzibar kuwa member tu wa Baraza la Mawaziri la Muungano, hakupigiwa kura hata moja na wananchi si Tanganyika wala Zanzibar lakini ana nguvu ya kuidogosha nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar anaechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu akibeba maslahi ya kikatiba yanayotambua uwepo wake, BLW na Mahakama Kuu Zanzibar. Kuna “motive” ipi ya kumdogosha mdau mmoja wa muungano na kumtukuza mwengine wakati tuna mfumo uliotukuza heshima za pande mbili tokea kuasisiwa kwake?

[HASHTAG]#Tatu[/HASHTAG].

Kama Rais wa Zanzibar ni memba wa Baraza la Mawaziri tu kwa tafsiri ya kuwa nae ni Waziri asie na wizara maalum basi atujulishe anateuliwa na nani katika nafasi hio kama alivyoteuliwa yeye na wote akiwamo makamo wa Rais anaemteua mwenyewe Rais akiwa kama mgombea mwenza wake? Jee kuna mwengine anaeingia pale kinyemela bila ya uteuzi wa huyo anaeitwa Jemedari Mkuu zaidi ya Rais wa Zanzibar?

[HASHTAG]#Nne[/HASHTAG]

Jee Rais wa Jamhuri anaeongoza vikao vya Baraza la Mawaziri nae anaingia pale akiwa kama nani? Waziri? Au Rais wa Jamhuri? Jee haiwezekani basi kuwa na Rais mwengine anaeingia katika Baraza la Mawaziri kwa sababu ya kofia yake ya Urais tena wa kuchagulia, akiwa na vyombo vyote vya heshima na mamlaka ya Urais ikiwamo katiba, vyombo vya kutunga sheria na mahakama?

[HASHTAG]#Tano[/HASHTAG]

Tuseme kuwamo kwa mwanasheria mkuu wa serikali katika Bunge kuna mhesabu nae kuwa mbunge asie na jimbo au anawakilisha mamlaka yake yanayomvyesha kofia ya kuwa sehemu ya Bunge? Bunge linaitambua nafasi ya Mwanasheria Mkuu kama nani bungeni? Jee Rais wa Zanzibar katika BLW anaingia kwa kofia ipi?

[HASHTAG]#Sita[/HASHTAG].

Kabla ya hapo Rais wa Zanzibar aliingia kama nani? Jee nae kwa vile ni Makamo wa Rais wakati ule hakuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri kwa tafsiri ya kishabik ya Kabudi? Hauoni huu ubabaishaji na uhadaifu wa tafsiri holela ni sehemu ya kero zilizosimamiwa na kamati aliokuwa nae ni mjumbe ilioweka wazi ubabaishaji huu na kuja na formula ya serikali tatu? Basi anasahau kuwa Rais wa Zanzibar ana dhamana ya Umakamo Mwenyekiti wa Chama kinachoongoza nchi?

[HASHTAG]#Saba[/HASHTAG]

Unafaham huwa huyu huyu Profesa Kabudi ndie aliekuwa katika kamati ya Warioba iliochambua mashaka ya katiba ya Muungano na Zanzibar na kufika hadi wakaja na mfumo ambao hakuna yoyote hadi leo alieuikiuka wa serikali tatu huku ya muungano yakiwa machache tena ya pamoja.

[HASHTAG]#Nane[/HASHTAG]

Alilolisema hasa ya kuwa Rais wa Muungano ana haki ya kuingilia na kutoa amri kwa waziri wa SMZ haoni linakwenda kinyume na kauli ya aliemteua kuwa hana mamlaka ya kuingilia ya Zanzibar ikiwamo la Jecha kwa sababu hayamo katika kapu la muungano hasa kwa vile ndie Jemedari Mkuu wa Jamhuri.

[HASHTAG]#Tisa[/HASHTAG]

Jee kuna Waziri anabeba heshima sawa na Rais wa Zanzibar akiwa Zanzibar au Bara, akabeba mamlaka aliokuwa nayo, akachaguliwa kwa kura, akabeba ukuu wa nchi, heshima ya ulinzi kama mkuu wa nchi, katiba inayompa mamlaka ya kugawa mikoa na wilaya atakavyo, uwezo wa kuteua Mawaziri wengine, na protocol nzima ya kijeshi inayolinda heshima ya ukuu wake ikiwamo bendera ya mamlaka yake na ya utambulisho wa nafasi yake katika mamlaka yake?

[HASHTAG]#Kumi[/HASHTAG]

Jee wanakosea watu wanapowaita manyumbu maana muna kiongozi na safu yake, lakini akatokea mtu mmoja, mteule asie na jimbo wala asiejuwa uchungu wa kutafuta kura leo akasimama na matamshi holela likiwamo hili la muliesimama mukamfutia uchaguzi alieshindwa lakini basi tu abaki ili aje adhalilishwe kuwa na nafasi sawa na wateule wengine kama yule Shonza, au Mbarawa alieshindwa uchaguzi wa ubunge Pemba alikokuita vichochoroni na vijiwe i au Kabudi anaeona uteuzi wake ni sawa na nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar na mamlaka yake kwa udhalili wa kiasi hiki?
Jamani wajuzi was lugha ya malikia nisaidieni kutafsiri "Zanzibar is a semiautonomous state" within a complicated and controversial union!
Last not least (i)is Zanzibar a state or nation within a union?
(ii)has Zanzibar ever ruled itself before colonialism and post colonialism?
(iii)can Zanzibar stand on her legs outside the union?if yes,how would Zanzibar tackle the threat of terrorism that is gaining momentum in the East Africa coastline?
If no why?
Mwisho naomba mtoa mada amtumie Profesa Kabudi ayo maswali ili tupate majibu.
 
ati alikuwepo kwenye tume ya katiba ikaja na mapendekezo ya muungano wa sirikali tatu!imenikumbusha yule aliyelikana andiko lake la Phd
siyo huyo wa phd tu,mwingine naye alishadidia serikali3 lkn alipopewa ulaji akawa kama kazaliwa upya hajui kama alikuwa kwenye tume ya warioba,
 
MASWALI KUMI KWA PROF. KABUDI


Ameandika Dr. Farrell Jnr.

[HASHTAG]#Moja[/HASHTAG]

Unajuwa kuwa Prof. Kabudi ni waziri wa masuala ya bara na hana mamlaka yoyote visiwani. Yaani sheha wa shehia ya Tomondo anaweza kumnyima barua ya ukaazi na isiwe chochote. Hana haki ya kupiga kura zaidi ya yale ya muungano tu, na Wizara yake visiwani ina sehemu ndogo sana ya uwakilishaji kwa sababu ya uwepo wa katiba ya Zanzibar, Wizara ya Sheria ya Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Zanzibar na Waziri wake anaeteuliwa na huyo anaemuota kuwa memba wa mawaziri Bara.

[HASHTAG]#Mbili[/HASHTAG]

Anaemuita Rais wa Zanzibar kuwa member tu wa Baraza la Mawaziri la Muungano, hakupigiwa kura hata moja na wananchi si Tanganyika wala Zanzibar lakini ana nguvu ya kuidogosha nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar anaechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu akibeba maslahi ya kikatiba yanayotambua uwepo wake, BLW na Mahakama Kuu Zanzibar. Kuna “motive” ipi ya kumdogosha mdau mmoja wa muungano na kumtukuza mwengine wakati tuna mfumo uliotukuza heshima za pande mbili tokea kuasisiwa kwake?

[HASHTAG]#Tatu[/HASHTAG].

Kama Rais wa Zanzibar ni memba wa Baraza la Mawaziri tu kwa tafsiri ya kuwa nae ni Waziri asie na wizara maalum basi atujulishe anateuliwa na nani katika nafasi hio kama alivyoteuliwa yeye na wote akiwamo makamo wa Rais anaemteua mwenyewe Rais akiwa kama mgombea mwenza wake? Jee kuna mwengine anaeingia pale kinyemela bila ya uteuzi wa huyo anaeitwa Jemedari Mkuu zaidi ya Rais wa Zanzibar?

[HASHTAG]#Nne[/HASHTAG]

Jee Rais wa Jamhuri anaeongoza vikao vya Baraza la Mawaziri nae anaingia pale akiwa kama nani? Waziri? Au Rais wa Jamhuri? Jee haiwezekani basi kuwa na Rais mwengine anaeingia katika Baraza la Mawaziri kwa sababu ya kofia yake ya Urais tena wa kuchagulia, akiwa na vyombo vyote vya heshima na mamlaka ya Urais ikiwamo katiba, vyombo vya kutunga sheria na mahakama?

[HASHTAG]#Tano[/HASHTAG]

Tuseme kuwamo kwa mwanasheria mkuu wa serikali katika Bunge kuna mhesabu nae kuwa mbunge asie na jimbo au anawakilisha mamlaka yake yanayomvyesha kofia ya kuwa sehemu ya Bunge? Bunge linaitambua nafasi ya Mwanasheria Mkuu kama nani bungeni? Jee Rais wa Zanzibar katika BLW anaingia kwa kofia ipi?

[HASHTAG]#Sita[/HASHTAG].

Kabla ya hapo Rais wa Zanzibar aliingia kama nani? Jee nae kwa vile ni Makamo wa Rais wakati ule hakuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri kwa tafsiri ya kishabik ya Kabudi? Hauoni huu ubabaishaji na uhadaifu wa tafsiri holela ni sehemu ya kero zilizosimamiwa na kamati aliokuwa nae ni mjumbe ilioweka wazi ubabaishaji huu na kuja na formula ya serikali tatu? Basi anasahau kuwa Rais wa Zanzibar ana dhamana ya Umakamo Mwenyekiti wa Chama kinachoongoza nchi?

[HASHTAG]#Saba[/HASHTAG]

Unafaham huwa huyu huyu Profesa Kabudi ndie aliekuwa katika kamati ya Warioba iliochambua mashaka ya katiba ya Muungano na Zanzibar na kufika hadi wakaja na mfumo ambao hakuna yoyote hadi leo alieuikiuka wa serikali tatu huku ya muungano yakiwa machache tena ya pamoja.

[HASHTAG]#Nane[/HASHTAG]

Alilolisema hasa ya kuwa Rais wa Muungano ana haki ya kuingilia na kutoa amri kwa waziri wa SMZ haoni linakwenda kinyume na kauli ya aliemteua kuwa hana mamlaka ya kuingilia ya Zanzibar ikiwamo la Jecha kwa sababu hayamo katika kapu la muungano hasa kwa vile ndie Jemedari Mkuu wa Jamhuri.

[HASHTAG]#Tisa[/HASHTAG]

Jee kuna Waziri anabeba heshima sawa na Rais wa Zanzibar akiwa Zanzibar au Bara, akabeba mamlaka aliokuwa nayo, akachaguliwa kwa kura, akabeba ukuu wa nchi, heshima ya ulinzi kama mkuu wa nchi, katiba inayompa mamlaka ya kugawa mikoa na wilaya atakavyo, uwezo wa kuteua Mawaziri wengine, na protocol nzima ya kijeshi inayolinda heshima ya ukuu wake ikiwamo bendera ya mamlaka yake na ya utambulisho wa nafasi yake katika mamlaka yake?

[HASHTAG]#Kumi[/HASHTAG]

Jee wanakosea watu wanapowaita manyumbu maana muna kiongozi na safu yake, lakini akatokea mtu mmoja, mteule asie na jimbo wala asiejuwa uchungu wa kutafuta kura leo akasimama na matamshi holela likiwamo hili la muliesimama mukamfutia uchaguzi alieshindwa lakini basi tu abaki ili aje adhalilishwe kuwa na nafasi sawa na wateule wengine kama yule Shonza, au Mbarawa alieshindwa uchaguzi wa ubunge Pemba alikokuita vichochoroni na vijiwe i au Kabudi anaeona uteuzi wake ni sawa na nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar na mamlaka yake kwa udhalili wa kiasi hiki?
Prof.PARAMAGAMBA J.M.KABUDI hakuna alichokosea bali ameelezea uhalisia ulioko kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Tulielewe hilo kabla ya kumshambulia kwa maneno maana yeye hajaitunga katiba hiyo ya 1977.
 
MASWALI KUMI KWA PROF. KABUDI


Ameandika Dr. Farrell Jnr.

[HASHTAG]#Moja[/HASHTAG]

Unajuwa kuwa Prof. Kabudi ni waziri wa masuala ya bara na hana mamlaka yoyote visiwani. Yaani sheha wa shehia ya Tomondo anaweza kumnyima barua ya ukaazi na isiwe chochote. Hana haki ya kupiga kura zaidi ya yale ya muungano tu, na Wizara yake visiwani ina sehemu ndogo sana ya uwakilishaji kwa sababu ya uwepo wa katiba ya Zanzibar, Wizara ya Sheria ya Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Zanzibar na Waziri wake anaeteuliwa na huyo anaemuota kuwa memba wa mawaziri Bara.

[HASHTAG]#Mbili[/HASHTAG]

Anaemuita Rais wa Zanzibar kuwa member tu wa Baraza la Mawaziri la Muungano, hakupigiwa kura hata moja na wananchi si Tanganyika wala Zanzibar lakini ana nguvu ya kuidogosha nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar anaechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu akibeba maslahi ya kikatiba yanayotambua uwepo wake, BLW na Mahakama Kuu Zanzibar. Kuna “motive” ipi ya kumdogosha mdau mmoja wa muungano na kumtukuza mwengine wakati tuna mfumo uliotukuza heshima za pande mbili tokea kuasisiwa kwake?

[HASHTAG]#Tatu[/HASHTAG].

Kama Rais wa Zanzibar ni memba wa Baraza la Mawaziri tu kwa tafsiri ya kuwa nae ni Waziri asie na wizara maalum basi atujulishe anateuliwa na nani katika nafasi hio kama alivyoteuliwa yeye na wote akiwamo makamo wa Rais anaemteua mwenyewe Rais akiwa kama mgombea mwenza wake? Jee kuna mwengine anaeingia pale kinyemela bila ya uteuzi wa huyo anaeitwa Jemedari Mkuu zaidi ya Rais wa Zanzibar?

[HASHTAG]#Nne[/HASHTAG]

Jee Rais wa Jamhuri anaeongoza vikao vya Baraza la Mawaziri nae anaingia pale akiwa kama nani? Waziri? Au Rais wa Jamhuri? Jee haiwezekani basi kuwa na Rais mwengine anaeingia katika Baraza la Mawaziri kwa sababu ya kofia yake ya Urais tena wa kuchagulia, akiwa na vyombo vyote vya heshima na mamlaka ya Urais ikiwamo katiba, vyombo vya kutunga sheria na mahakama?

[HASHTAG]#Tano[/HASHTAG]

Tuseme kuwamo kwa mwanasheria mkuu wa serikali katika Bunge kuna mhesabu nae kuwa mbunge asie na jimbo au anawakilisha mamlaka yake yanayomvyesha kofia ya kuwa sehemu ya Bunge? Bunge linaitambua nafasi ya Mwanasheria Mkuu kama nani bungeni? Jee Rais wa Zanzibar katika BLW anaingia kwa kofia ipi?

[HASHTAG]#Sita[/HASHTAG].

Kabla ya hapo Rais wa Zanzibar aliingia kama nani? Jee nae kwa vile ni Makamo wa Rais wakati ule hakuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri kwa tafsiri ya kishabik ya Kabudi? Hauoni huu ubabaishaji na uhadaifu wa tafsiri holela ni sehemu ya kero zilizosimamiwa na kamati aliokuwa nae ni mjumbe ilioweka wazi ubabaishaji huu na kuja na formula ya serikali tatu? Basi anasahau kuwa Rais wa Zanzibar ana dhamana ya Umakamo Mwenyekiti wa Chama kinachoongoza nchi?

[HASHTAG]#Saba[/HASHTAG]

Unafaham huwa huyu huyu Profesa Kabudi ndie aliekuwa katika kamati ya Warioba iliochambua mashaka ya katiba ya Muungano na Zanzibar na kufika hadi wakaja na mfumo ambao hakuna yoyote hadi leo alieuikiuka wa serikali tatu huku ya muungano yakiwa machache tena ya pamoja.

[HASHTAG]#Nane[/HASHTAG]

Alilolisema hasa ya kuwa Rais wa Muungano ana haki ya kuingilia na kutoa amri kwa waziri wa SMZ haoni linakwenda kinyume na kauli ya aliemteua kuwa hana mamlaka ya kuingilia ya Zanzibar ikiwamo la Jecha kwa sababu hayamo katika kapu la muungano hasa kwa vile ndie Jemedari Mkuu wa Jamhuri.

[HASHTAG]#Tisa[/HASHTAG]

Jee kuna Waziri anabeba heshima sawa na Rais wa Zanzibar akiwa Zanzibar au Bara, akabeba mamlaka aliokuwa nayo, akachaguliwa kwa kura, akabeba ukuu wa nchi, heshima ya ulinzi kama mkuu wa nchi, katiba inayompa mamlaka ya kugawa mikoa na wilaya atakavyo, uwezo wa kuteua Mawaziri wengine, na protocol nzima ya kijeshi inayolinda heshima ya ukuu wake ikiwamo bendera ya mamlaka yake na ya utambulisho wa nafasi yake katika mamlaka yake?

[HASHTAG]#Kumi[/HASHTAG]

Jee wanakosea watu wanapowaita manyumbu maana muna kiongozi na safu yake, lakini akatokea mtu mmoja, mteule asie na jimbo wala asiejuwa uchungu wa kutafuta kura leo akasimama na matamshi holela likiwamo hili la muliesimama mukamfutia uchaguzi alieshindwa lakini basi tu abaki ili aje adhalilishwe kuwa na nafasi sawa na wateule wengine kama yule Shonza, au Mbarawa alieshindwa uchaguzi wa ubunge Pemba alikokuita vichochoroni na vijiwe i au Kabudi anaeona uteuzi wake ni sawa na nafasi adhim ya Rais wa Zanzibar na mamlaka yake kwa udhalili wa kiasi hiki?
Umemaliza!
 
siyo huyo wa phd tu,mwingine naye alishadidia serikali3 lkn alipopewa ulaji akawa kama kazaliwa upya hajui kama alikuwa kwenye tume ya warioba,
haya majitu ndio yanampa kichwa Donald azidi kututukana
 
Profesa Kabudi yupo sahihi kabisa, tatizo tulilonalo sie ni kumjadili mtu badala ya kuijadili katiba. Tubadilike.
 
Back
Top Bottom