Sijawahi kuona mswahili anaitwa Yesu ila kule rwanda kuna Akayesu, Bizimungu. Kule hispania, ureno, argentina kuna watu wanaitwa Jesus, Angel, Maria. Maria hata waswahili wapo ila sijui watu hao kama kuna athari wanazipata kutokana na kuitwa majina ya Kiungu