maaniko pia yanasema AMELAANIWA YULE AMTEGEMEAE MWANADAMU kutegemea msaada wa mganga ni chukizo kwa Mungu, maandiko hayao hayo yanasema MIMI NI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU MINGINE unganga na uchawi ni ibada kwa miungu..kaka kama wafata maandiko yafate yote na si yale tu yanayokupa kile utakacho
Vipi yale maandiko yanayosema funga mlango wako nami nitakulinda
Tabu yote hiyo ya nini? nikujipa magonjwa ya moyo tu na kutokuwa responsible kwa mambo ya maendeleo. Fanyeni kazi ndg achaneni na ujinga huu. Suala la msingi hapa ni kulinda afya zenu wanandoa, kuheshimiana na kuwa na hofu ya Mungu.
Waweza tumia kifaa kinachoitwa Simcard Reader au Sim Card Manager waweza kujua kila kilichoendelea kwenye laini ya simu tokea laini ilipoanza kutumika.kama wanatumia voice call kama njia ya maongezi? or social netwrk kama viber, whatsapp n etc
utafanyaje kujua? bora muaminiane tu
presha zote za nini hizo! life should be simple and we should live as free as electrons.....you just have to play your part...hayo mengine God will always be in control!
Muwekee software ya kutrack maongezi yake kwenye simu na GPS kwenye simu.
Itasaidia sana
Mimi nakula full updates hapa kwenye mail yangu
Tabu yote hiyo ya nini? nikujipa magonjwa ya moyo tu na kutokuwa responsible kwa mambo ya maendeleo. Fanyeni kazi ndg achaneni na ujinga huu. Suala la msingi hapa ni kulinda afya zenu wanandoa, kuheshimiana na kuwa na hofu ya Mungu.
huku ni kujitafutia stress,na akiwa na headset nyingine anaitumia kwa siri bila wewe kujua au akiwa anatumia simu ya rafiki yake kuwasiliana na michepuko utajua kweli?mtu hachungiki mambo mengine ni kumuachia mungu tu
Si hadi aanze kufanya hvyo? Najua jinsi ya kumgundua, nimefanya hivyo mara kadhaa nimefanikiwa