Yupo vizuri sana katika Sanaa ya michoro
Katika maswala ya kipato yupo vizuri sana. Na ndio Msanii au mtangazaji aneongoza kwa kuwa na Gari ya bei ya juuu kuliko wasanii na watangazaji wote apa Tanzania
Kama boss wako anaona mbali au kushaurika angefanya namna, najua hawezi kufanya lolote kwani kipanya anamchora vibayaHiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...
Hiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...
Huyu jamaa,ni zaidi ya uchoraji.Ana kijiji alianzisha Kule Sikonge,vijana wanafundisha maisha ya kujitegemea yale asili.Laiti kama serikali ingempa ushirikiano,tungeweza kuwa na vijiji kama vile kila wilaya,ingesaidia vijana wetu kutokaa vijiweniHuyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...
Barbarosa, anachokifanya Masoud hakifundishiki. Kuchora katuni ni jambo A, lakini kuipa UHAI WA KIMAUDHUI katuni yako ni jambo lingine.
Mtaani wapo watu wengi sana wanaweza kuchora vikaragosi, shida ni je WANAWEZA KUVIBEBESHA UJUMBE? Mheshimu sana mtu anayechora kapicha kadogo tu lakini kakahitaji tafsiri. Hiyo ni falsafa.
Kwani kuwa na mkwanja au kipaji Lazima usadie nchi.Hiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
Ndugu yangu watanzania bado tunaamini Ukiwa na gari na nyumba Ni maendeleo sana. Kazi kweli kweliHiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!