Wakuu nauliza hapo ni ipi masters nzuri yenye fursa na upana katika fursa kwa taasisi binafsi na zile za umma kati ya Masters of arts in Public administration (UDSM) au masters of Human resource management (Mzumbe)
Wakuu nauliza hapo ni ipi masters nzuri yenye fursa na upana katika fursa kwa taasisi binafsi na zile za umma kati ya Masters of arts in Public administration (UDSM) au masters of Human resource management (Mzumbe)
Siamini kama uko committed unaweza kushindwa, maana hats wakat tunapenda pale kuchukua bachelor tuliambiwa hivyohivyo lkn tulitoboa. I don't care about that naamini haiwez kushindikana
Wakuu nauliza hapo ni ipi masters nzuri yenye fursa na upana katika fursa kwa taasisi binafsi na zile za umma kati ya Masters of arts in Public administration (UDSM) au masters of Human resource management (Mzumbe)
Mkuu habari ya kusurubiwa sina shaka, nimezipata hizo surba mlimani maana napo wapo wanaojua kusurubu hata hvyo nikienda Mzumbe nataka ni apply campus ya Dar, nachokitaji hapa ninkujua ipi ina fursa pana kuliko nyingine
Mkuu habari ya kusurubiwa sina shaka, nimezipata hizo surba mlimani maana napo wapo wanaojua kusurubu hata hvyo nikienda Mzumbe nataka ni apply campus ya Dar, nachokitaji hapa ninkujua ipi ina fursa pana kuliko nyingine
Bila Shaka UDSM umesulubiwa na kina Dr jingu, Dr Lupa, prof Makulilo,dr Bana, prof Chaliga,Dr Bruce Hellman, marehem prof Liviga na magundaz wengine wa idarani!
Nenda kasome HRM! Kimsingi HRM na MPA kazi zake na fursa zake zinafanana tu