asante sanaKimsingi hazina tofauti kabisa.
Zote zinakubalika sehemu nyingi sana duniani.
Sijawahi kukutana na sehemu ambayo inakubali matumizi ya Visa halafu ikatae matumizi ya MasterCard.
Nishawahi kutumia kadi (Visa na MasterCard) za Bank of America kwenye ATM ya CRDB, Bariadi, Simiyu!
Na zote hizo ni kampuni za Kimarekani.
EMT, remember this debate?
Asante sana kwa kunieleweshaasante sana
kwahiyo hakuna ATM inayo baguwa card na kusomesha VISA pekee?nilimuuliza mtu wa benki akaniambia ni eneo zinapotengenezwa, master ni us, visa ni uk na nyingine ni sa
natumizi ni yaleyale
Yenye sticker hizo tu ndo inakubalikwahiyo hakuna ATM inayo baguwa card na kusomesha VISA pekee?
inamaana ni aina mbili tu ya card zenye huo uwezo, au kuna zingine piaYenye sticker hizo tu ndo inakubali
na vipi kuhusu maestro na smart card au zenyewe zina matumizi gani?Hili swali watoa huduma wa CRDB wenyewe walishindwa kulijibu, wakaishia kuniambia ziko sawa tu ila katika uhalisia sidhani kama kampuni zitatengeneza Cards mbili tofauti halafu ziwe zinafanya a typical operation! Naimani kuna tofauti ipo ila haijawekwa wazi,
Ni sawa na kampuni ya matairi inayotengeneza off-road tyres pamoja na Sport tyres halafu umuulize mtu akujibu kuwa yote sawa tu kwa maana ni funga lolote tu gari itaenda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]dadeqNafikiri kuna mtu ameiba ID ya Nyani Ngabu huwa hatoi maelezo yasiyokwenda shule kama haya, pengine kazeeka siku hizi maana ukizeeka na akili inakuwa kama ya Mugabe.
[emoji23][emoji23][emoji23]Zote sawa kama tigo na voda au Nmb na crdb au benz na toyota au samsung na Sony au .... au ...
Dah we jamaa inaonekana kilaza mnoinamaana ni aina mbili tu ya card zenye huo uwezo, au kuna zingine pia
Mhhh freemason katika ubora wakeThe question here is one of specificity.
Which Visa and which Mastercard?
The banal names have a myriad configurations, which makes the Mastercard vs.Visa question lacking specificity to give it a meaningful reply.
Boss Visa na Mastercard ni kadi mbili tofauti ila ziko sawa tu kwenye matumizi. Inaweza kuwa Credit Card au Debit Card.Hili swali watoa huduma wa CRDB wenyewe walishindwa kulijibu, wakaishia kuniambia ziko sawa tu ila katika uhalisia sidhani kama kampuni zitatengeneza Cards mbili tofauti halafu ziwe zinafanya a typical operation! Naimani kuna tofauti ipo ila haijawekwa wazi,
Ni sawa na kampuni ya matairi inayotengeneza off-road tyres pamoja na Sport tyres halafu umuulize mtu akujibu kuwa yote sawa tu kwa maana ni funga lolote tu gari itaenda!