MASTERBATION(PUNYETO)....naomb en ushaur...

MASTERBATION(PUNYETO)....naomb en ushaur...

Pita mitaa ya Buguruni Shell upate kitu Pweza kila siku, baada ya hapo mambo kama "Netiboli" vile.
 
idadi ya raundi mbwembwe tu, suala raundi moja inachukua muda gani.?
 
Kula ushibe na ukae muda mrefu upate mabppumziko then rudia game,but mbona hata hizo tatu zinakutoa?ulitaka 10...!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ahaahaaa! Na inavyoelekea kapata shombeshombe duh! bao tatu hazimtoshi! Mi natupia mbili nikidai ya tatu mwenzangu CHALI!
 
kijana nijibu haya maswali nikupe msaada..

Huyo mpenzio bado upo nae?

Baada ya kuona wewe umeshindwa ..aliongea nin?
 
Dawa ya hilo tatizo ni kutembea na shangazi yako
 
ni malengo tu mkubwa.... cunajua hzi jinsia zenye shmo la raha zna2pagawisha?
 
Back
Top Bottom