Mastaa wa Bongo ku-copy na ku-paste majina

Mastaa wa Bongo ku-copy na ku-paste majina

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,374
Reaction score
38,248
Wabongo tunajua sana ku-copy na ku-paste!
Ona mifano hii kutoka tasnia mbalimbali, ruksa na wewe kuongezea alie-copy na ku-paste:


  1. Daz BABA: Huyu ni memba wa lililokuwa kundi la DAZ Nundaz. Kwa USA, Daz ni jina la jamaa anaitwa Daz Dillinger, alikuwa mtu wa karibu sana na marehemu 2Pac.


  1. B12: Kwa hapa bongo huyu ni presenter, lakini kwa USA, B12 ni msaii mkubwa sana.


  1. Young D: Kuna wasaniii wengi sana USA wana majina yanayoanza na Young, akiwemo Young Buck. Kwa hapa bongo, dogo anasema jina lake lina maana ya Young Dar es salaam, inawezekana!


  1. 2 Proud: Ni mheshimiwa kwa sasa. Alivuma sana kwa jina hili enzi hizo 2pac Shakur anavuma USA na dunia kwa ujumla.


  1. Soggy Doggy: Huyu nae aliwika katika zama zake. Jina lake halina tofauti sana na mkali wa USA, Snoop Doggy Doggy

  1. Mad ice: Huyu ni kama vile ameboresha jina la Ice cube.

  1. Chid benz: Kule USA kuna msanii anaitwa Benzino


  1. Bambataa: Hiki ni kipindi kilichovuma sana enzi za uhai wa Amina Chifupa, kabla hajaingia ktk siasa, sasa hivi hakipo tena. Kwa waliokuwa wapenzi wa burudani, hili ni jarida maarufu sana kule USA.

  1. Diamond platinum: Kwa USA, platinum ni chati za juu kabisa za mauzo ya album ya music kwa msanii husika, kibongo bongo hili ni jina la msanii!

  1. 20%: Huyu alijiwekea jina baada ya kubeba tuzo 5 kwa mpigo ktk KiliAwards. Kule USA kuna mkali anaitwa 50 CENT

  1. Queen Darleen: Huyu karibu kila kitu; uvaaji na aina ya uchezaji wake, anafanana na Queen Latifa

  1. J – Mo: USA wanae J – Lo, kwetu huku tunae Juma Mchopanga

  1. Fanya yako: (Do ur thing): Kwa wapenzi wa kituo cha burudani BET, huu ni msemo maarufu sana kwao, hapa kwetu unasemwa ktk lugha ya Kiswahili!
 
Alianza PROFESA JAY kutoka TZ na ngoma yake ya "PIGA MAKOFI"
Hatujakaa sawa BUSTER RHYMES kutoka USA akaja na "MAKE IT CLAP"

Hahahaah hahahaah hahahaah USA waigilizi sana

.made in mby city.
 
Dangote: Nigeria Dangote ni tajiri mkubwa saaana lakini Tanzania Dangote ni mkata mauno stejini.
 
Wabongo tunajua sana ku-copy na ku-paste!
Ona mifano hii kutoka tasnia mbalimbali, ruksa na wewe kuongezea alie-copy na ku-paste:


  1. Daz BABA: Huyu ni memba wa lililokuwa kundi la DAZ Nundaz. Kwa USA, Daz ni jina la jamaa anaitwa Daz Dillinger, alikuwa mtu wa karibu sana na marehemu 2Pac.


  1. B12: Kwa hapa bongo huyu ni presenter, lakini kwa USA, B12 ni msaii mkubwa sana.


  1. Young D: Kuna wasaniii wengi sana USA wana majina yanayoanza na Young, akiwemo Young Buck. Kwa hapa bongo, dogo anasema jina lake lina maana ya Young Dar es salaam, inawezekana!


  1. 2 Proud: Ni mheshimiwa kwa sasa. Alivuma sana kwa jina hili enzi hizo 2pac Shakur anavuma USA na dunia kwa ujumla.


  1. Soggy Doggy: Huyu nae aliwika katika zama zake. Jina lake halina tofauti sana na mkali wa USA, Snoop Doggy Doggy

  1. Mad ice: Huyu ni kama vile ameboresha jina la Ice cube.

  1. Chid benz: Kule USA kuna msanii anaitwa Benzino


  1. Bambataa: Hiki ni kipindi kilichovuma sana enzi za uhai wa Amina Chifupa, kabla hajaingia ktk siasa, sasa hivi hakipo tena. Kwa waliokuwa wapenzi wa burudani, hili ni jarida maarufu sana kule USA.

  1. Diamond platinum: Kwa USA, platinum ni chati za juu kabisa za mauzo ya album ya music kwa msanii husika, kibongo bongo hili ni jina la msanii!

  1. 20%: Huyu alijiwekea jina baada ya kubeba tuzo 5 kwa mpigo ktk KiliAwards. Kule USA kuna mkali anaitwa 50 CENT

  1. Queen Darleen: Huyu karibu kila kitu; uvaaji na aina ya uchezaji wake, anafanana na Queen Latifa

  1. J – Mo: USA wanae J – Lo, kwetu huku tunae Juma Mchopanga

  1. Fanya yako: (Do ur thing): Kwa wapenzi wa kituo cha burudani BET, huu ni msemo maarufu sana kwao, hapa kwetu unasemwa ktk lugha ya Kiswahili!

Jina halisi la Jay Mo ni Juma Mohamed, so sidhani kama kaiga hapo
 
Slim5 lete zogo weeee ila ukitulia soma post ya ARMI juu hapo!
 
J – Mo: USA wanae J – Lo, kwetu huku tunae Juma Mchopanga

agree-to-disagree-smiley-emoticon.gif
 
Jina halisi la Jay Mo ni Juma Mohamed, so sidhani kama kaiga hapo


Na hakuna namna nyingine ya kujiita zaidi ya J- Mo? Kwa mf. Juma Nature majina yake halisi ni Juma Kassim Kiroboto, Juma Mjivuni (Member wa lililokuwa kundi la Afande Sele - Ghetto Boys) aliendelea kujiita hivo hivo! Joseph Haule alijiita Prof J baada ya kubatizwa na John Dilinga, kuacha lililokuwa Nigga Jay!

Mtazamo wangu! Na wewe una wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom