Nafahamu moja ilipo Ila namna yakukuelekeza ndo shida sasa. Ngoja nijaribu kama utaekewa anzia safari pale stend ya mabasi ya Kilimanjaro Nyoosha na ile road vuka barabara kubwa ya kutoka stend shuka nayo ile kama unaenda kwenye stend ndogo ya hiace katikati kuna saloon mbili au tatu kubwa,,,saloon ya mwisho kulia ingia hapo ushindwe mwenye