Masomo yaanza chuo kikuu cha Garissa

Primier

Member
Joined
Dec 16, 2015
Posts
86
Reaction score
14
Masomo yameanza tena katika Chuo Kikuu cha Garissa baada ya wanafunzi kurejea chuoni. Chuo hicho kilikuwa kimefungwa kwa miezi tisa kufuatia shambulio la al-Shabab mwaka jana.

Mwandishi wa BBC Angela Ng'endo alitembelea chuo hicho na kutuandalia taarifa hii.


Chanzo: BBC
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…