MASOMO YA SANAA VS MASOMO YA SAYANSI

MASOMO YA SANAA VS MASOMO YA SAYANSI

super black

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
566
Reaction score
540
LEO NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWA NITAKAOWAUDHI NA KUWAKERA TUSAMEHEANE SABABU HAKUNA ALIEMKAMIRIFU



kumekua na swala linalozungumzwa sana na watu walio wasomi na wasio wasomi kuhusu masomo ya science na ya sanaa,
kwangu mimi kutokana na uelewa wangu mdogo wa kidato cha nne nilipoishia ni kua:

A:hakuna masomo ambayo ni muhimu kuliko mengine hili swala nalipinga kwa asilimia 100 twende kwenye mifano:marekani na urusi ni mataifa makubwa kiuchumi na yote yanategemea sana wataalamu wa uchumi na sanaa kwenye maendeleo sababu kuu ni kua watu wa uchumi ndio hutoa ushauri kuhusu mambo hayo na wasanaa ni watunga sera wazuri na wanaweza simamia mambo vizuri ingawa ata wa science anaweza tukija upande wa science wao nao ni muhimu sababu huwezi kuendelea kama una afya mbovu kama huna teknolojia na mpaka hapa inaonesha jinsi gani tunavotegemeana HOJA INAWEZA KUA HAINA MASHIKO NA UTETEZI WAKE ILA MUHIMU KUJUA DOCTOR alisaidiwa na mwalimu wa kingereza kujua lugha aanayotumia hospitali,DOCTOR anasaidiwa na mwanasheria pale haki zake zinavoenda ovyo na dokta anaboreshewa mazingira kupitia watunga sera wazuri wa sanaa TUKUBALI TU KUA INGAWA KWA UPANDE FLANI MASOMO YA SAYANSI YANAONEKANA MUHIMU KULIKO YA ARTS LAKINI KIUHALISIA KILA KITU KINAMTEGEMEA MWENZAKE APO NIMEWEKA MIFANO YA DOKTA MENGI KAMA MFANO watu wa science wamekua wakijinasibu kua wao ndo wao wanasahau kua mungu ndie apangae unapiga kelele mwalimu wa science kua wewe mjanja alafu una vipindi 20 kwa wiki wa arts ana vipindi 4 kwa wiki alafu wote mshahara ni mmoja na ukiwa zamu unamuomba huyo huyo akusaidie zamu.

WATANZANIA WENZANGU TUPENDANE EBU TUISHI KWA UPENDO TUSIDHARAULIANE KILA MTU ANA UMUHIMU KWA NAFASI YAKE


Mwingine anasema walosoma arts hawana akili vizuri yani uwezo wa kufikiri shule hakuna maabara hakuna walimu mtu asome science na anajua kutoka ni ngumu?ata kama ni rahisi mtu anachagua masomo anayoyaweza kuna mtu wa science rafiki angu ukimpa history ata D hafikishi ukimpa kiswahili mambo ya vishazi ndo kabisa ila leta hesabu anakokotoa anapiga A mtu wa arts nae unampa formula sijui gravitational force 9.8 sijui nini uko charlses law na yeye kazoea vishazi huru hakuelewi kabisa .




TUPENDANE TUSIDHARAURIANE KILA MTU NA KILA KAZI INA UMUHIMU KUTOKANA NA NAFASI YAKE ILIPO MUNGU AWABARIKI MUNGU IBARIKI TANZANIA NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA KWENYE MAMBO YENU
 
Hayo masomo hayajapewa kipaumbele na serikari, af system ya elimu hapa tz inamfanya mtu aweze kuwa competent sehem tofauti
 
Ninachojua watu ambao hua wanasoma science ndo haohao wanakua n.a. akili darasani za kufaulu masomo mengine yote automatically hata ma T.O wote hutoka science wakiwa wamefaulu vizuri arts

But at the end of the day all combinations are important though you cannot ignore the fact that any country need more scientists to develop than arts people angalia hao wataalam wa uchumi wanaohitajika Vs Madaktari wanaohitajika angalia Technologia tunagitaji wahandisi wangapi Vs wanasheria so we need many science people to overcome the challenges of economy and less people to show economic status
 
Tanzania hakuna Sayanc hebu tuache kudanganyani. Elimu hii ya Tz ni mbovu mbovu mbovu. Mwalimu mwenyewe division 3 et anafundisha mwanafunzi anatapa divn 1.
 
Upo sahihi lakini kumbuka wataalamu wanaotokana na masomo ya arts wapo wengi Sana at the same time tuna uhaba wa wataalamu wanaotokana na masomo ya sayansi ndo maana serkali imeweka kipaumbele kwenye masomo ya sayansi kwa sasa.
 
pinga bisha fanya ufanyavyo ukweli utabaki kua ugumu ni science
 
Back
Top Bottom