MASOMO YA MASTERS MAREKANI

MASOMO YA MASTERS MAREKANI

mzalendo8

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
26
Reaction score
9
za wakati huu wadau,nimemaliza bachelor degree na ningependa kuendelea na masomo ya masters marekani naomba kama kuna mtu ana fahamu minimum GPA inayo hitajika kwa sisi wabongo ili kusoma masters marekani anijuze. pia ni jinsi gani GPA za tz hubadilishwa kupata gpa za marekani?
 
Dogo uko kwenye internet na bado huna taarifa basic kabisa. Google vyuo vya US na kusoma eligibility kwa kozi unazotaka.
za wakati huu wadau,nimemaliza bachelor degree na ningependa kuendelea na masomo ya masters marekani naomba kama kuna mtu ana fahamu minimum GPA inayo hitajika kwa sisi wabongo ili kusoma masters marekani anijuze. pia ni jinsi gani GPA za tz hubadilishwa kupata gpa za marekani?
 
Back
Top Bottom