UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
hivi walimu wa tanzania shida yao nini mbona nashindwa kuwaelewa coz wanaunga ccm mkono mara lowasa mara hawajapanda madaraja mara tunaidai serikali oooh malimbikizo sasa sijui wanafikirije wakati rais kikwete kawaongezea mishahara wana bodaboda wanavaa vizuri walitaka awape nini na maisha yao siku hizi ni bora kila baada ya miaka mitatu wanapandishwa madaraja na nyongeza kubwa za mishahara kila siku wanalamika mamishahara yote hayo mliongezewa