mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Nasikitika kuona kale kakitufe ketu ka groan kimeletewa fitna mpaka kameondolewa,kwani kalikuwa kana kosa gani au madhara gani humu ndani?Mi naona kale kalikuwa kazuri na kanachohamasisha watu kutuma posts zenye akili,kwani hakuna mtu ambaye angekubali kuwekewa groan,hivyo b4 hujatuma post ingekulazimu kuiedit mara nyingi iwezekanavyo ili utume kitu safi na chenye mantiki nzuri kwa jamii,Mods angalieni hili!!