Maskini CCM na ACT

Maskini CCM na ACT

Nicolas J Clinton Gabone

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
892
Reaction score
536
Ebu nishangae watu ambao ati wakiama kutoka CHADEMA wanaenda CCM na ACT hivi kweli wakiama ati wanasingizia ruzuku ya CHADEMA inatafunwa na makao makuu so mimi nakiama na ninaenda CCM au ACT hawaendi pengine na ni viongozi.

Angalia wakiwa CHADEMA wanapata hata kidogo hicho sasa wakienda kwa interahamwe ndo wanatelekezwa mwisho wanabakwa na interahamwe ati kisa ruzuku ya chama lakini wanasahau ruzuku ya interahamwe inaenda wapi ambayo ni zaidi ya bilion moja kila mwezi hayo ndo viongozi wetu.

Hapo ndo utaona CCM na ACT wanajivunia wanachama kutoka CHADEMA utawasikia CHADEMA inakufa kama si akiri ya bamia ni nimi.
 
Tatizo la CCM wanadhania CHADEMA hata ikifa ndiyo itasababisha wananchi wakipende,LA HASHA,CCM kinazidi kuchukiwa siku hadi siku hata kama CHADEMA kikifa,ACT hawana tofauti na CCK ambao wameungana na CCM kuzunguka nchi nzima eti kuwapinga UKAWA.Sasa hapo kuna upinzani?UPINZANI WA DHATI TANZANIA HII UPO CHADEMA TU NA SI VINGINEVYO.
 
Ukiona mpinzani wa kweli anarudi ccm ujue hakuwa mpinzanu ila alikuwa msaliti wa wananchi tena ni MTU hatari sana.
 
Back
Top Bottom