Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Maskani FAMA GUSTA-MIKOROSHINI - Temeke...
Hili ni eneo maarufu sana kwa Temeke Mikoroshini Gusta hapa palikuwa hatari enzi hizo mwisho kutembea ilikuwa saa 12 baada ya hapo unatafuta lawama na watu. Kama kuna mwenye picha ya miaka ya 90 na 80 atuletee... Kuna wimbo mmoja wa Mchiriku walitaja sana sehemu hii.. Sikumbuki wimbo gani.. Nani anaukumbuka?
Hili ni eneo maarufu sana kwa Temeke Mikoroshini Gusta hapa palikuwa hatari enzi hizo mwisho kutembea ilikuwa saa 12 baada ya hapo unatafuta lawama na watu. Kama kuna mwenye picha ya miaka ya 90 na 80 atuletee... Kuna wimbo mmoja wa Mchiriku walitaja sana sehemu hii.. Sikumbuki wimbo gani.. Nani anaukumbuka?

