Masingle mother

chinkychinky

Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
18
Reaction score
170
Napitia Uzi kibao na comment mbalimbali nikiona wanaume wanawakashifu masingle mother wakati wimbi Ili la masingle Maza wamesababisha wao Kwa kukwepa na kukimbia majukumu Yao. Wimbi kubwa la Wanawake saiv ni singo Maza mwingn aliolewa kaachika na watoto kaachiwa ndo maan wa mama wamejaa mabarabaran wakitafuta rizk tofaut na miak ya zamani

Singo Maza msikatishwe tamaa na vijineno vya watu wachache wasiojielewa akuna mkamilifu dunian na akuna mwanamke anayependa kulea mtoto mwenyw pambanen Mpk tone la mwisho kulea watoto wenu amuwez kujua baadaye watakuwa wakina nani

Watoto ni Baraka pia Kuna watu wanahangaik usiku na mchana kutafuta watoto akun kitu Cha thaman dunian kama Kuwa na watoto ndo maan tulitumwa kujaza Dunia . Hakuna kitu kinaumiza dunian kama kukosa mtoto Bora ukose ndoa kuliko kukosa mtoto mshukurun Mungu Kwa Baraka hiyo ambayo Wanawake weng wamejaa mahospitalin kuitafuta iyo Baraka.


Mtoto ndo ndugu Yako wa ukweli na sio mwanaume
Singo Maza mitano tenaaaaaaaaaaaaaaa
 
Pole sana single mother nakuombea upate mme wa kukuoa.
 
Kuna masingo mother wengine wanaboa jamani. Utakuta mwanamke kazaa tu na kibaka kisa alipewa hela za siku moja na jamaa kamtelekeza mtoto. Singo Maza akipata mtu mpya utasikia mwanao anakusalimia, au leo mwanao anauliza eti baba anakuja lini tena kutuona? Wakati yeye anagegedana na kibaka alikuwa hajawahi kuwaza iko siku atakuja kuachwa.
 
Mungu awape furaha;anani na mafanikio makubwa sana masingo maza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
umefunika
 
hahahahaha
 
Inaelekea una nyodo kwa wanaume eeh!!
Thibitisha kama huna nyodo tulete posa.
 
Kwanza usipuuze nakuwaita wanaume wanaowaponda single mom kuwa wajinga mta miss point hapa.

Wanawke jitunzeni tunaelewa hili janga la single mom linasababishwa na wote ila msijifanye victim wakati na nyinyi ni part ya tatizo

Hamna chakujivuniA kulea mtoto mwenyewe nadhani hili liwape challenge ya kutumia akili kuchagua wanaume mnaoamua kuwapanulia mapaja.

Ni aibu kwenu narudia tena ni aibu kweli
 
ili tukigombana umpost aliyekuzalisha na mwanao pambana hata UEFA ina mechi mbili mbili
ila uliona wapi first leg timu moja inaanza na aggregate ya (1-0)

Tafuta single father mwenzio mlee watoto usije kubaka vijana under 25
 
We ni me au ke? Kama ni me halafu unawaonea huruma waoe sasa ndio utajua rangi zao.
 
Sawa mama umeeleweka. Ila usingle mother/father ni matokeo ya sababu nyingi. Siyo hiyo tu ya kuzalishwa/kuzalisha na kutelekezana! Hata kufiwa pia ni sababu nyingine, ya kukufanya uwe single mother.

Hivyo ni vizuri kuchagua kuishi maisha yako ya amani. Hakuna sababu ya kujisikia vibaya kwa maneno ya mtu asiye na msaada wowote ule kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…