Masikio ya Kitimoto yanahitajika haraka

Masikio ya Kitimoto yanahitajika haraka

Nenda Toangoma ulizia kwa Chinga, ila anayo ya nguruwe pori.

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] supu ya utumbo wa nguruwe sijanywa aiseee hata niwe kwenye wakati mgumu vp...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati sisi maustadh tunaruhusiwa kugonga kwenye mazingira magumu hebu fikiria jaribu kuashumu upo kwenye mazingira kama Jamaa waliofukiwa kwenye kifusi wakala mende ingekuwa ni ww ukapata options mbili kati ya mende na utumbo wa kitimoto ungechagua nn mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JF, nawakumbushia tena ya kwamba bado nahitaji masikio ya Nguluwe.
Masikio yawe mabichi au yamekaushwa juani tu sio kwa moto au mafuta, yawe marefu, mapana na manene.

Pair moja yaani masikio mawili nitakupatia sh. 1000/=, ni PM kama unayo.

Nahitaji jumla ya masikio kama 250 hivi.
 
Wakati sisi maustadh tunaruhusiwa kugonga kwenye mazingira magumu hebu fikiria jaribu kuashumu upo kwenye mazingira kama Jamaa waliofukiwa kwenye kifusi wakala mende ingekuwa ni ww ukapata options mbili kati ya mende na utumbo wa kitimoto ungechagua nn mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshasema kwenye mazingira magumu hapo,lkn ktk hali ya kawaida au labda nna uwezo wa kuvumilia hiyo njaa kwa masaa mawili matatu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana JF, nawakumbushia tena ya kwamba bado nahitaji masikio ya Nguluwe.
Masikio yawe mabichi au yamekaushwa juani tu sio kwa moto au mafuta, yawe marefu, mapana na manene.

Pair moja yaani masikio mawili nitakupatia sh. 1000/=, ni PM kama unayo.

Nahitaji jumla ya masikio kama 250 hivi.

So moja ni 500 mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom