Masikini Waalimu!!!

Masikini Waalimu!!!

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
1474658461180.jpg

Ni kweli tumeingiziwa huku lakini hakuna ongezeko lolote,mim naona tungeendelea tu na shemeji yule wa kwanza angalau yeye alikuwa akija kila mwaka anauheshimu mkataba.


Shemeji huyu hata za kupanda madaraja alitupa mara moja tu akasema hataki tena,sijui shemu kwanini yuko hivi sjui ndio waleashemu wabairiiii!!?

Lakini shemu mwenyewe anafanya kimya kimya kaanza tu kuwapa Wakuu wa shule 2.5 ili wawabane wenzao vizuri kumbe huku ndio kuisom namba!!?? Sasa najiuliza namba yenyewe ndio ipi?

Sjui ndio katengua mktaba na watumishi wote maana miktaba iko wazi kuwa kila mtumishi ataongezewa mshahara hata kama ni elf1 lakini kuweko ongezeko sasa tangu july shemej huyu noma yuko kimyaa.

Anajua kama hali ni ngumu huku mtaani,alishakataza tuition,alishakataza michango,alishakataza kuuza ubuyu,na mda wote walimu wawepo kazini wasifanye shughru zingine kujipatia kipato kwani wanayopata inawatosh.

Chezea shemu namba 2 ww wew,kama yulee tulimwambia shem unatuachaje sijui huyu tumwambie shem umekujaje? Au tutashitakiwa kwa uchocheziii ihmmm hapa kweli tutaisoma namba!!!



Labda ni kwa sababu wale wanaotutuaga bungeni walitoka hivyo wakabaki wale wanaoteteaga masirahi yao tu?
Daaa bora msingetoka bna huenda kwenye budget na sisi walimu tungekumbukwa..
Saivi wametgawa..devide and rule wakuu wanacho chao kidgo sisi pyaaaaa
 
View attachment 405810
Ni kweli tumeingiziwa huku lakini hakuna ongezeko lolote,mim naona tungeendelea tu na shemeji yule wa kwanza angalau yeye alikuwa akija kila mwaka anauheshimu mkataba.


Shemeji huyu hata za kupanda madaraja alitupa mara moja tu akasema hataki tena,sijui shemu kwanini yuko hivi sjui ndio waleashemu wabairiiii!!?

Lakini shemu mwenyewe anafanya kimya kimya kaanza tu kuwapa Wakuu wa shule 2.5 ili wawabane wenzao vizuri kumbe huku ndio kuisom namba!!?? Sasa najiuliza namba yenyewe ndio ipi?

Sjui ndio katengua mktaba na watumishi wote maana miktaba iko wazi kuwa kila mtumishi ataongezewa mshahara hata kama ni elf1 lakini kuweko ongezeko sasa tangu july shemej huyu noma yuko kimyaa.

Anajua kama hali ni ngumu huku mtaani,alishakataza tuition,alishakataza michango,alishakataza kuuza ubuyu,na mda wote walimu wawepo kazini wasifanye shughru zingine kujipatia kipato kwani wanayopata inawatosh.

Chezea shemu namba 2 ww wew,kama yulee tulimwambia shem unatuachaje sijui huyu tumwambie shem umekujaje? Au tutashitakiwa kwa uchocheziii ihmmm hapa kweli tutaisoma namba!!!



Labda ni kwa sababu wale wanaotutuaga bungeni walitoka hivyo wakabaki wale wanaoteteaga masirahi yao tu?
Daaa bora msingetoka bna huenda kwenye budget na sisi walimu tungekumbukwa..
Saivi wametgawa..devide and rule wakuu wanacho chao kidgo sisi pyaaaaa
Ni walimu tu ambao hawajaongezewa mishahara??
 
HII ISSUE INAWAHUSU WAFANYAKAZI WOTE WA SERIKALI...KUSEMA WALIMU PEKE YAO NDO WENYE KUHITAJI NYONGEZA NA MASLAHI MENGINE ISSUE INAKUWA DILUTED...INAKOSA NGUVU NA KUONEKANA NI ISSUE NDOGO SANA....
 
Ngoja tufikixhe ndege kumi mkuu...mbna mna haraka hvo..???aaaaagh!!!
 
Ingekua wenzenu jirani saa hizi wako road wanaandamana kudai haki,huku walimu wengi vyeti feki kila mtu muoga,poleni.
 
Mtoa mada hii isue ishakuwa used sana, istoshe watumishi wa Umma sio walimu pekee kuna Madaktari, Mahakimu, manesi, maaskari nk. Wooote hao hawajaongezewa chochote lkn wanavuta subira. Lkn wewe kiherehereeee kila wakati walimu, walimu tumewachoka kwani mlilazimishwa??? Walimu ni wito na siyo maslahi kama huna wito kaa pemben pimbi kabisa wewe.
 
60% ya watumishi wa umma ni walimu.kilio na kelele zao ni rahis kuskikika kuliko kada nyingine yoyte
 
Mtoa mada hii isue ishakuwa used sana, istoshe watumishi wa Umma sio walimu pekee kuna Madaktari, Mahakimu, manesi, maaskari nk. Wooote hao hawajaongezewa chochote lkn wanavuta subira. Lkn wewe kiherehereeee kila wakati walimu, walimu tumewachoka kwani mlilazimishwa??? Walimu ni wito na siyo maslahi kama huna wito kaa pemben pimbi kabisa wewe.
Ndio tulilazimishwa,serkali ilikataa kutoa Mikopo sehemu zingine ikatoa kwenye Elimu tu....

Imekuchoma nin hapo..?
 
Hajui mnachopitia.Ameshasahau

Ukiwa umeshiba mwenye njaa akikuelezea njaa yake unaona kama anakuzingua tu
 
Hawa waliambiwa watakula vizuri kama Mapadri...... Hata sijui kama Magu anaikumbuka hii ahadi!!!!!
 
Back
Top Bottom